Mawazo ya kimaskini,tangu wa akili,afya na mali😂Uchawi una nafasi katika mpira duniani. Sio Tz au Africa pekee.
Porto wameajiri mganga huko na yuko kwenye payroll ya timu.
Ni baada ya Benfica misimu iliyopita kuajiri mganga halafu wakachukua ubingwa.
Porto wakasema usitutanie. Ulaya hiyo.
Nchi ina wajinga wengi sana hiiSalaam..!!
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na maneno toka kwa wadau wa Simba Sc, hasa mashabiki na wanachama wake, wanaodai kwamba, uchaguzi wa Simba Sc kufanyika wakati ule [katikati ya msimu] yamechangia kuathiri uwezo wa timu uwanjani.
Binafsi napata mashaka na uzito wa madai hayo kwasababu moja kubwa, kwamba, timu ya Simba Sc kwasasa iko chini ya mwekezaji Mo, huyu ndie yupo "responsible" kwa mahitaji yote muhimu ya timu, kuanzia chakula, malazi, usafiri, usajili, mishahara ya wachezaji, na mengineyo.
Kwangu ningeyaona madai hayo [tetesi hizo] zina uzito endapo kama bado timu ya Simba Sc ingekuwa na mfumo uliopita kabla ya ujio wa mwekezaji, ambapo watu binafsi walikuwa wakisajili wachezaji wao, kuwalipa mishahara, na kulazimisha kocha mkuu awapange wachezaji wao, hata kama hawana uwezo uwanjani lengo likiwa kuwatafutia masoko nje kupitia Simba Sc.
Kwa akili ya kawaida, ungetambua kwamba, hawa wachezaji walikuwa na uwezo wa kuwasikiliza mabosi wao waliowasajili na kuwalipa mishahara, pale ambapo mambo binafsi ya mabosi hao hayakwenda vizuri ndani ya klabu, ikiwemo kushindwa uchaguzi, hivyo kuwaambia wachezaji wao wacheze chini ya kiwango ili kuwakomoa wapinzani wao walioshinda uchaguzi.
Lakini leo Mo anatoa kila kitu, hao watu waliopo nje ya timu [kama kweli wapo] wenye uwezo wa kuwashawishi wachezaji kucheza chini ya kiwango na kuathiri matokeo ya timu uwanjani ni wakina nani? na iweje wawe na nguvu kubwa kiasi hicho ya ushawishi kwa wachezaji [ kama wapo]?
Yangu ni hayo tu ...
Hapa ndipo nilipokuwa napatafuta, kwamba tunakubaliana makundi yapo, na yana nguvu kufanya mambo nje ya uwanja yanayopelekea kuvuruga performance ya timu uwanjani, muhimu viongozi wa Simba Sc wayatambue hayo makundi na viongozi wao ili warekebishe mambo haraka.wakati tunachangia humu tulisema sema haiko salama ,kuna makundi hayaridhiki ndio maana yakaja na ajenda ya kubadili katiba....sasa wala usiumize kichwa...kundi lile ambalo linalitaka kubadili katiba ,na yule jamaa kushindwa ,hao ndio mdili nao...ukitaka majina na vikao vinakofanyika ,tutawasaidia
Kwanza tuanze na hili, hivi vongozi wa Sikba Sc wamewahi kumwambia Mo wanamtaka mchezaji fulani akagoma kuwapatia kwa kigezo cha kutokuwa na pesa?Simba ni mbovu watu wasijifiche kwenye uchaguzi uliyokwisha pita, Kama Simba ingekuwa na quality players na wanapata matokeo huu upuuzi eti makundi ya uchaguzi ndio chanzo Wala usingekuwepo. Hawa waliochaguliwq na walioshindwa uchaguzi wapo hapo kama wanachama but hawana authority power yoyote yakuamua Mambo ndani ya Simba.
Anayepaswa kulaumiwa ni Mo Kama mwekezaji Kwanini hatoi pesa yakutosha kwaajili ya usajiri?, Inawezekanaje akatoq pesa ya kuweka kambi Dubai zaidi ya 500m+ alafu ashindwe kutoa 400m za usajili wa mchezajj mzuri?. Matokeo haya uhusiano na matokeo bali viwango duni vya wachezaji ndio kikwazo Cha matokeo.
Kuna mambo chini ya kapeti ambayo yanaweza kuwepo wewe unaleta ujuaji wa kindezi kumbe ndie mjinga mwenyewe, hapa unatafutwa ukweli wa jambo, soma comment za wengine ufunguke hiyo akili mgando uliyoifungia kabatini.Nchi ina wajinga wengi sana hii
Kwanza tuanze na hili, hivi vongozi wa Sikba Sc wamewahi kumwambia Mo wanamtaka mchezaji fulani akagoma kuwapatia kwa kigezo cha kutokuwa na pesa?
Huyu Mo tusijekuwa tunamlaumu tu bila sababu, na hata kama walimwambia akashindwa kuwapatia waliyemtaka kwa sababu tofauti, je, walikuwa na chaguo la pili ambalo nalo Mo alishindwa kuwapatia?
Victor adebayor, Aziz key, Manzoki na Yule kibibi wake Babra kutwa sialikuwa anashinda mitandaoni kuwaaminisha Simba kuwa hakuna mchezaji anaweza kutokusajriwa na Simba!.Kwanza tuanze na hili, hivi vongozi wa Sikba Sc wamewahi kumwambia Mo wanamtaka mchezaji fulani akagoma kuwapatia kwa kigezo cha kutokuwa na pesa?
Huyu Mo tusijekuwa tunamlaumu tu bila sababu, na hata kama walimwambia akashindwa kuwapatia waliyemtaka kwa sababu tofauti, je, walikuwa na chaguo la pili ambalo nalo Mo alishindwa kuwapatia?
Kati ya wachezaji kuna mojawapo aliyekuwa mgombea wa uchaguzi kiasi cha kuiumizwa na matokeo akashindwa kuperform uwanjani ?Kuna mambo chini ya kapeti ambayo yanaweza kuwepo wewe unaleta ujuaji wa kindezi kumbe ndie mjinga mwenyewe, hapa unatafutwa ukweli wa jambo, soma comment za wengine ufunguke hiyo akili mgando uliyoifungia kabatini.
tatizo la kukosa magoli mechi muhimu lilianza tangia msimu uliopita mpaka msimu huu Boco na Mugalu kabla hata uchaguzi wa juzi.hapo akuna ushawishi bali ni uwezo wa wachezaji umefika mwisho.Sio inawezekana huko kukosa nafasi nyingi za wazi kwa mchezaji ndio nguvu ya ushawishi toka nje inakuwa imefanya kazi yake?
Kwani ni makosa kufanya hayo ?Mo janjajanja yule,anaitumia Simba kubrand biashata zake.
mpira biashara wapo sawa walikua wanataka mshiko, hata kama mchezaji kabakisha wiki moja kumaliza mkataba ukimtaka unaweka mzigo mezani.Wale mabosi wa Vipers nao kuna wakati niliwaona kama walitufanyia figisu makusudi kwasababu Manzoki alionesha kuitaka sana Simba Sc.
Kwahiyo Mo aondoke ?mpira biashara wapo sawa walikua wanataka mshiko, hata kama mchezaji kabakisha wiki moja kumaliza mkataba ukimtaka unaweka mzigo mezani.
Mo ndo tatizo la msingi kubali kataa.
Bro unaspeculate sana kila saa unakuja na nyuzi za Simba au unalipwa huko ionekane Simba kuna matatizo ?Kuna mambo chini ya kapeti ambayo yanaweza kuwepo wewe unaleta ujuaji wa kindezi kumbe ndie mjinga mwenyewe, hapa unatafutwa ukweli wa jambo, soma comment za wengine ufunguke hiyo akili mgando uliyoifungia kabatini.
ni upuuziSalaam..!!
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na maneno toka kwa wadau wa Simba Sc, hasa mashabiki na wanachama wake, wanaodai kwamba, uchaguzi wa Simba Sc kufanyika wakati ule [katikati ya msimu] yamechangia kuathiri uwezo wa timu uwanjani.
Binafsi napata mashaka na uzito wa madai hayo kwasababu moja kubwa, kwamba, timu ya Simba Sc kwasasa iko chini ya mwekezaji Mo, huyu ndie yupo "responsible" kwa mahitaji yote muhimu ya timu, kuanzia chakula, malazi, usafiri, usajili, mishahara ya wachezaji, na mengineyo.
Kwangu ningeyaona madai hayo [tetesi hizo] zina uzito endapo kama bado timu ya Simba Sc ingekuwa na mfumo uliopita kabla ya ujio wa mwekezaji, ambapo watu binafsi walikuwa wakisajili wachezaji wao, kuwalipa mishahara, na kulazimisha kocha mkuu awapange wachezaji wao, hata kama hawana uwezo uwanjani lengo likiwa kuwatafutia masoko nje kupitia Simba Sc.
Kwa akili ya kawaida, ungetambua kwamba, hawa wachezaji walikuwa na uwezo wa kuwasikiliza mabosi wao waliowasajili na kuwalipa mishahara, pale ambapo mambo binafsi ya mabosi hao hayakwenda vizuri ndani ya klabu, ikiwemo kushindwa uchaguzi, hivyo kuwaambia wachezaji wao wacheze chini ya kiwango ili kuwakomoa wapinzani wao walioshinda uchaguzi.
Lakini leo Mo anatoa kila kitu, hao watu waliopo nje ya timu [kama kweli wapo] wenye uwezo wa kuwashawishi wachezaji kucheza chini ya kiwango na kuathiri matokeo ya timu uwanjani ni wakina nani? na iweje wawe na nguvu kubwa kiasi hicho ya ushawishi kwa wachezaji [ kama wapo]?
Yangu ni hayo tu ...
Unaogopa nini kujadili haya mambo?Bro unaspeculate sana kila saa unakuja na nyuzi za Simba au unalipwa huko ionekane Simba kuna matatizo ?
Kwani timu kufungwa limeanza leo ?
unanifunga mdomo huo ni udikteta.Tujadili hoja ya mezani pls.
Timu kufungwa kwako ni jambo geni ?Unaogopa nini kujadili haya mambo?
Kujua chanzo cha tatizo ndio mwanzo wa ku solve, acha uoga wa kitoto.
Kuna uhusiano gani ya uchaguzi na timu kufanya vibaya?Bado mtoto utakua tu.