Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mpaka leo Ligi ipo ukingoni halafu timu moja ina michezo 28 na nyingine 24, hivi kweli bado tuna Wataalam wakupanga ratiba ya Ligi?
Hebu fikria,...Kuna team hazijakutana tangu ligi ianze.
Najiulza mbona siku hizi wasomi ni wengi kwanini hali inakuwa hivyo? Je, wanakwepaje upangaji wa matokeo na rushwa?
Hebu tazama Ligi nyingine ambazo zipo ukingoni hazijaachana. Kama mambo yapo hivi kweli Vyuo Vikuu tunaenda kufanya nini?
Hebu fikria,...Kuna team hazijakutana tangu ligi ianze.
Najiulza mbona siku hizi wasomi ni wengi kwanini hali inakuwa hivyo? Je, wanakwepaje upangaji wa matokeo na rushwa?
Hebu tazama Ligi nyingine ambazo zipo ukingoni hazijaachana. Kama mambo yapo hivi kweli Vyuo Vikuu tunaenda kufanya nini?