Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
TFF na vilabu vya mpira utoa official pole kwa wanamichezo tu. Lakini mpira siyo jambo linaweza kutengwa na siasa au jamii. Niwakumbushe wanamichezo kutoa salamu za pole kwa Lowasa na kuendelea na utamaduni huo.
Waache kujikita kwenye michezo wajihusishe pia na jamii kwenye mambo Mtambuka
R.I.P rais wa awamu ya Tano Edward Lowasa
Waache kujikita kwenye michezo wajihusishe pia na jamii kwenye mambo Mtambuka
R.I.P rais wa awamu ya Tano Edward Lowasa