Je, TFF, Simba na Yanga katiba zao zinawakataza kutoa salamu za pole kwa wanasiasa wanapofariki?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
TFF na vilabu vya mpira utoa official pole kwa wanamichezo tu. Lakini mpira siyo jambo linaweza kutengwa na siasa au jamii. Niwakumbushe wanamichezo kutoa salamu za pole kwa Lowasa na kuendelea na utamaduni huo.
Waache kujikita kwenye michezo wajihusishe pia na jamii kwenye mambo Mtambuka

R.I.P rais wa awamu ya Tano Edward Lowasa
 
Huwa wanatoa sana tuuu mbonaas.....
 
🚨 T A N Z I A 🚨

Azam FC tumepokea kwa mshtuko mkubwa, kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Edward Lowassa, aliyefariki dunia leo Jumamosi, wakati akipatiwa matibabu kwenye Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI).

Tunatuma salamu zetu...
 
Hadi Mashujaa FC wamepost.
 
Huyu jamaa bado hajafuta huu Uzi?

 
Mods mbona mnatuchanganya, kwani Simba na Yanga ni vyama vya siasa ua uoga wenu?
 
Kuna Watu kulalamika ni jadi yao hata bila utafiti
Mabumunda sio kwenye mawizara tu, hata JF yapo. Kibaya zaidi ya JF yako Kama supu ya utumbo, yaani yako
mkao wa kuliwa lkn hayana ladha.
Bure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…