Heshima kwenu wote.
Kuna jambo nimeliona katika pita pita za mtandaoni kuhusu katuni ya Simpsons, kuhusu kutabiri matukio ya jayo katika episode zake.
Jambo ambalo nimeliona wametabiri limenishtua zaidi ni Tramp. Kurudi tena madarakani
Kama kuna mtu ana fahamu zaidi kuhusu The Simpsons tufahamishane katika hili.
View attachment 3112353
Duh watu wanafikiri ni utawala wa shetani mkuu 🤔inakuaje tena ni overrated wakati huku kidimbwi tuna jua ndio utawala wa chapa yenyewe ya 666 kwa mujibu wa ufunuo wa Yohana???Freemasons are overrated.
Freemason my poop!!Hatari sana
Me nilidhani labda wana uhusiano na Freemason kumbe ni kutabiri tuu.
Mkusanyiko wa wachawiDuh kwani freemason ni kitu gani?
Duh watu wanafikiri ni utawala wa shetani mkuu 🤔inakuaje tena ni overrated wakati huku kidimbwi tuna jua ndio utawala wa chapa yenyewe ya 666 kwa mujibu wa ufunuo wa Yohana???
Hakuna Mungu kwa mujibu wa vitabu vya vya dini zote naweza kuthibitisha mkuuUtaweza kuthibitisha kweli
nan??Huyu jamaa ina semekani kurudi kwake in kwasababu ya vita vya tatu vya dunia
okTrump
naam naamTatizo ni kwamba, wakitabiri vitu 1,000, halafu 999 visiwe kweli na 1 kikawa kweli, utasikia kuhusu kile kimoja kilichokuwa kweli tu, hutasikia vile vingine 999 ambavyo havikuwa kweli.
Ni ule mkate wa ndizi, wengine wanauita bumunda.Duh kwani freemason ni kitu gani?