Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Jana ilisumbua sana ilikuwa mpaka ujaribu zaidi ya hata mara 3Hata ukituma meseji ya hela ikiwa mtandao tofauti inagoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana ilisumbua sana ilikuwa mpaka ujaribu zaidi ya hata mara 3Hata ukituma meseji ya hela ikiwa mtandao tofauti inagoma.
Hili lipo mda sana... mfano meseji ya "tuma hela kwenye namba hii" txt yenye hayo maneno haiendi.Habari zenu wana jukwaa?
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila mpaka ulibadili usiliandike kwa uhalisia wake ndo inakuwa delivered.
Nasema tigo ndo wanafanya hivi sio simu yangu maana nikibadili sim card nikiandika hilo neno nikatuma linakuwa delivered.
Wakuu kuna mwingine anapitia hili tatizo, plz share.View attachment 2810421
Hata airtell iko hivyo tangu mwaka uanze huu kuna baadhi ya maneno ukiweka sms haiendiHabari zenu wana jukwaa?
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila mpaka ulibadili usiliandike kwa uhalisia wake ndo inakuwa delivered.
Nasema tigo ndo wanafanya hivi sio simu yangu maana nikibadili sim card nikiandika hilo neno nikatuma linakuwa delivered.
Wakuu kuna mwingine anapitia hili tatizo, plz share.View attachment 2810421
huyo unayechati naye ndo kablock hilo neno mkuuHabari zenu wana jukwaa?
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila mpaka ulibadili usiliandike kwa uhalisia wake ndo inakuwa delivered.
Nasema tigo ndo wanafanya hivi sio simu yangu maana nikibadili sim card nikiandika hilo neno nikatuma linakuwa delivered.
Wakuu kuna mwingine anapitia hili tatizo, plz share.View attachment 2810421
wewe ni kichwa ngumuhuyo unayechati naye ndo kablock hilo neno mkuu
hakuna kitu kama hichoMbona iyo ipo kitambo karibia mitandao yote