Je TIN(tax identication number) iliyosajiliwa kawaid inaweza kutumika kutoa mzigo bandarini?

Je TIN(tax identication number) iliyosajiliwa kawaid inaweza kutumika kutoa mzigo bandarini?

Al-habiib

Senior Member
Joined
Jun 21, 2023
Posts
110
Reaction score
151
Habari wakuu, husika na kichwa Cha habari tajwa.
Mfano nimesajili TIN kwa ajili ya duka la kawaida na inaonekana Ina mtaji mdogo mfano 1M lakini itumike bandarini kuto mzigo unaozidi hio 1m mfano 5-10M , je hii haitaleta shida?
 
Kweli kitengo cha Elimu Kwa Mlipa Kodi kinahitaji kupewa nguvu, maana seems tuna tatizo kubwa la Uelewa wa mambo ya Kodi, ndiyo maana sio ajabu kubambikiwa Kodi

TIN number ni namba ya utambulisho wa Mlipa Kodi, ambayo hata uwe na biashara mia mbili, ndogo, kubwa, za kati bado utaendelea kutumia namba hiyo hiyo ya Mlipa Kodi (TIN)

Ndiyo maana hata watumishi wa Umma Siku hizi Wana TIN number, kwamaana nao hulipa Kodi Kila mwisho wa Mwezi kupitia makato kwenye Mishahara yao.
 
Kweli kitengo cha Elimu Kwa Mlipa Kodi kinahitaji kupewa nguvu, maana seems tuna tatizo kubwa la Uelewa wa mambo ya Kodi, ndiyo maana sio ajabu kubambikiwa Kodi

TIN number ni namba ya utambulisho wa Mlipa Kodi, ambayo hata uwe na biashara mia mbili, ndogo, kubwa, za kati bado utaendelea kutumia namba hiyo hiyo ya Mlipa Kodi (TIN)

Ndiyo maana hata watumishi wa Umma Siku hizi Wana TIN number, kwamaana nao hulipa Kodi Kila mwisho wa Mwezi kupitia makato kwenye Mishahara yao.
Tafadhali nijibu swali husika itapendeza
 
Tafadhali nijibu swali husika itapendeza
Ndiyo inaweza kutumika kutolea mzigo, japo mara nyingi hapo bandarini Kuna Kampuni zinazofanya kazi ya clearances Kwa niaba ya mteja ambapo uta-submit hiyo Tin number kwaajili ya kuangalia the owner wa mzigo lakini pia kulipa Kodi stahiki
 
Back
Top Bottom