Je, tozo za miamala ya simu ni matokeo ya wabunge wa CCM waliopelekwa Bungeni kinguvu?

Je, tozo za miamala ya simu ni matokeo ya wabunge wa CCM waliopelekwa Bungeni kinguvu?

Bashiru is one the very hopeless PhD alchaic. Mchumia tumbo hata ungekuwa na degree saba huwezi kusimamia lolote.

Kuna anayeweza akaniambia kwa uwazi na kwa uhakika, Bashiru wa wakati wa Kikwete, Bashiru katibu mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi wa wakati wa Magufuli, na Bashiru mbunge wa viti maalum wa wakati wa Samia, kwa wakati wote amesimamia nini?
Amesimamia mama Tanzania. Ni CV ya kipekee kwa maana ya yote aliyokutana nayo kisiasa.
 
Wabunge wa Ccm wamewaachia wafanyakazi maumivu mno

Mwaka 2018 wakapitisha sheria kuondoa FAO LA KUJITOA
 
Wachekeshaji ni wale wanaoamini katika substance nyepesi ya wabunge wengi wa upinzani. Huwezi kumlinganisha Bashiru na mbunge yoyote wa upinzani, hicho ndicho kichekesho. Maisha ni fumbo hakuna aijuaye kesho inafanana vipi lakini sio kigezo cha kumlinganisha Bashiru na yoyote wa upinzani kielimu na hata kwenye masuala ya ujenzi wa hoja za aina mbalimbali.
Mtu kua mjenga hoja na elimu ambayo haiakisi ustawi na maendeleo ya nchi hiyo ni elimu hewa.Sasa hebu tuambie hizo hoja na hiyo elimu ya huyo unayemtetea imewasaidiaje masikini wa hili taifa.
 
Unataka kuniambia kuwa Heche ni bora kuliko Bashiru?

Unataka kuniambia kuwa Msigwa ana mantiki kichwani kumzidi Jerry Slaa!! Mkuu tupa Shuka pembeni kumeshakucha tayari.
Ukitaka watu wakuone unajenga hoja za msingi na za maana, achana na kutetea CCM. Kila Mara huyu bwana anatetea Mara uwanja wa ndege chato. Sasa unatetea bashiru. Kwa hiyo bukiriro unaunga mkono walichofanya wabunge wa CCM kupitisha tozo hizi umiza na bashiru wako Yuko kimywa? Kesho akija rais mwingi akamtosa bashiru unashangilia. Mbona huna msimo. Huoni Wana CCM wenzako wanamtosa unayemtetea?
 
Back
Top Bottom