Bashiru is one the very hopeless PhD alchaic. Mchumia tumbo hata ungekuwa na degree saba huwezi kusimamia lolote.
Kuna anayeweza akaniambia kwa uwazi na kwa uhakika, Bashiru wa wakati wa Kikwete, Bashiru katibu mkuu wa CCM na Katibu Mkuu Kiongozi wa wakati wa Magufuli, na Bashiru mbunge wa viti maalum wa wakati wa Samia, kwa wakati wote amesimamia nini?