The hit maker wa "Heart attack" na RnB super star Trey Songs bado anasumbua kwenye social networks kuhusiana na ishu yake ya kua shoga.
Kupitia ukurasa wake wa tweeter aliwahi ku-confess kua yeye ni shoga.
View attachment 156285
Ila baada ya muda aliifuta tweet hii baada ya kupata comments nyingi na idadi ya walio retweet kua kubwa hasa mashabiki wake ambao wengi ni wadada,baadae ikasambaa picha ambayo ilikua na utata hasa ikumuonyesha Trey Songs katika hali tata.
View attachment 156287
Soon baada ya picha kuvuja Trey Songs alikimbilia kwenye ukurasa wake wa tweeter na kukanusha hiyo picha akiita ni ya photo shop though akusema kuhusu tweet yake ya mwanzo.
View attachment 156290
Je Trey songs ni GAY?muda utaongea ila tunasubiri na celebs wetu wa bongo pia waanze kujitangaza kuondoa utata na dhahania juu yao.
ebu angali huyo jamaa mdomo ulivyokuzwa kama samaki na watu wakikiss kwa kawaida wanakiss kwenye midomo lips ya juu na chini inagusana kwa pamoja lakini hapa mdomo wa trey una mgusa kwa juu jamaa ili kuzuia pua ya trey isizame ndani ya uso wa jamaa na mdomo wa jamaa umekuzwa ili kuwe na distance
ukipata time nenda you search gay rapper exposed utashtuk humo with ploofs za kutosh wakin dirty money n etc ni bisexul
u wil see mengi san na hyo ni agenda ya masons
they do t for fame
Hizo picha ni photoshop na kuna account ya twiter si yake ni ya kutengeneza.
Mwenyewe halikanusha
wabongo bhana kweli mamburula mshaambiwa all game and jokes aside .....yaani maana yake ni utani na masihara lakini bado tu mnaendelea kungangania
usa kuna kitu kinaitwa stunt kibongobongo ni kick unaweza kua na beef na yeyote ili kuuboost mziki wako
no no no no
not trey songs..no
Mahandsomer haoooooo kusifiwaaa we mzuri matokeo yakee hayooo ptiuuiuuiuuu Money Stunna
Sasa kuna nn cha kubisha hapo? Wakati account verified kabisaa
Sasa kuna nn cha kubisha hapo? Wakati account verified kabisaa
Hebu fikiria unaposoma habari ya mtu unayeamini ni dume kamili kama tyson kuwa ni shoga......nini kitakuja kichwani.....imagination ya Tyson akifanywa siyo..........binadamu wengine(kwa tofauti alizotupa Mola) anaposoma mara nyingi habari kama hizi kutoka kwa watu anaowaamini.....anaanza kulibeba kama kitu cha kawaida......mwisho wenye akili mbovu anaanza kupata tamaa ya kutaka kujua kuna nini huko hadi mtu kama Tyson(kwa mfano) akavutiwa........tunaharibu ulimwengu huu sisi wenyewe.... Binafsi nimejifunza sitopost hizi habari kwa namna inayoweza kuleta negative impact...
umetia boko mtu wangu.. wahi offer ya Ras Simba...!!!wabongo bhana kweli mamburula mshaambiwa all game and jokes aside .....yaani maana yake ni utani na masihara