Je Trey Song ni Shoga?

Je Trey Song ni Shoga?

Hivi ka Lil Wayne sio kagei kweli maana ile afya yake!!!!!
 
The hit maker wa "Heart attack" na RnB super star Trey Songs bado anasumbua kwenye social networks kuhusiana na ishu yake ya kua shoga.
Kupitia ukurasa wake wa tweeter aliwahi ku-confess kua yeye ni shoga.

View attachment 156285

Ila baada ya muda aliifuta tweet hii baada ya kupata comments nyingi na idadi ya walio retweet kua kubwa hasa mashabiki wake ambao wengi ni wadada,baadae ikasambaa picha ambayo ilikua na utata hasa ikumuonyesha Trey Songs katika hali tata.

View attachment 156287

Soon baada ya picha kuvuja Trey Songs alikimbilia kwenye ukurasa wake wa tweeter na kukanusha hiyo picha akiita ni ya photo shop though akusema kuhusu tweet yake ya mwanzo.

View attachment 156290

Je Trey songs ni GAY?muda utaongea ila tunasubiri na celebs wetu wa bongo pia waanze kujitangaza kuondoa utata na dhahania juu yao.

ebu angali huyo jamaa mdomo ulivyokuzwa kama samaki na watu wakikiss kwa kawaida wanakiss kwenye midomo lips ya juu na chini inagusana kwa pamoja lakini hapa mdomo wa trey una mgusa kwa juu jamaa ili kuzuia pua ya trey isizame ndani ya uso wa jamaa na mdomo wa jamaa umekuzwa ili kuwe na distance
 
ebu angali huyo jamaa mdomo ulivyokuzwa kama samaki na watu wakikiss kwa kawaida wanakiss kwenye midomo lips ya juu na chini inagusana kwa pamoja lakini hapa mdomo wa trey una mgusa kwa juu jamaa ili kuzuia pua ya trey isizame ndani ya uso wa jamaa na mdomo wa jamaa umekuzwa ili kuwe na distance

Mbona unamtetea sanaaaaa
 
ukipata time nenda you search gay rapper exposed utashtuk humo with ploofs za kutosh wakin dirty money n etc ni bisexul

Hadi dre dah noma sana nilichoka nilipoona will smith anatoka na duan martin yule nyota wa sinema ya above the rim.yaani jamaa ni wapenzi kabisa. Wengine maarufu ndio hao kina west na lil wyne,matt damon dah!. ...
 
u wil see mengi san na hyo ni agenda ya masons
they do t for fame
 
Hizo picha ni photoshop na kuna account ya twiter si yake ni ya kutengeneza.

Mwenyewe halikanusha

Hiyo account ni yake na hata alivyokanusha alitumia the same account labda angesema wame-hack lakini ni account yake halali kabisa naweza kuamini picha ni photoshop ngoja nicheki tweets zake za kukanusha utaona hajaikataa hiyo account.
 
wabongo bhana kweli mamburula mshaambiwa all game and jokes aside .....yaani maana yake ni utani na masihara lakini bado tu mnaendelea kungangania
usa kuna kitu kinaitwa stunt kibongobongo ni kick unaweza kua na beef na yeyote ili kuuboost mziki wako

Msaada tu kwenye tuta "All games and jokes aside..." Kwa lugha yetu sisi wabongo ina maana gani naama kwa kiswahili inawezekana kichwa changu kinaelekea kuzimika.
 
no no no no
not trey songs..no

Haaaaahaa fan base yake ina idadi kubwa ya wadada wameshtuka na kukataa cuz wanajiuliza jamaa kakosa nini hasa ila simply kuna ukweli Trey Songz ana kidume anakipenda.
 
Sasa kuna nn cha kubisha hapo? Wakati account verified kabisaa
 
Bado bongo sasa maana hizo hirini zao zatutisha, na wavavyovaa suruali za kubana mapaja na makalio tena chini ya makalio...lets wait and see
 
Kuweni makini....kuna juhudi kubwa sana za mashoga tena wengine matajiri wakubwa kutaka kutumia kila uwezo wao kuufanya ushoga kuwa mahusiano ya kawaida kama mengine.....Zinafanyika juhudi kubwa.....bad enough vijana wengi wanasoma kwenye mitandao ambako habari hizi zimejaa (hata hapa JF).Kama wewe unania ya dhati kupinga ushoga usipost habari nzuri au mbaya ya ushoga ili isizoeleke kirahisi kwenye jamii yetu.....
 
Hebu fikiria unaposoma habari ya mtu unayeamini ni dume kamili kama tyson kuwa ni shoga......nini kitakuja kichwani.....imagination ya Tyson akifanywa siyo..........binadamu wengine(kwa tofauti alizotupa Mola) anaposoma mara nyingi habari kama hizi kutoka kwa watu anaowaamini.....anaanza kulibeba kama kitu cha kawaida......mwisho wenye akili mbovu anaanza kupata tamaa ya kutaka kujua kuna nini huko hadi mtu kama Tyson(kwa mfano) akavutiwa........tunaharibu ulimwengu huu sisi wenyewe.... Binafsi nimejifunza sitopost hizi habari kwa namna inayoweza kuleta negative impact...
 
Hebu fikiria unaposoma habari ya mtu unayeamini ni dume kamili kama tyson kuwa ni shoga......nini kitakuja kichwani.....imagination ya Tyson akifanywa siyo..........binadamu wengine(kwa tofauti alizotupa Mola) anaposoma mara nyingi habari kama hizi kutoka kwa watu anaowaamini.....anaanza kulibeba kama kitu cha kawaida......mwisho wenye akili mbovu anaanza kupata tamaa ya kutaka kujua kuna nini huko hadi mtu kama Tyson(kwa mfano) akavutiwa........tunaharibu ulimwengu huu sisi wenyewe.... Binafsi nimejifunza sitopost hizi habari kwa namna inayoweza kuleta negative impact...

Mkuu tunapambana na kitu ambacho kipo sio nadharia tukiamua kukaa kimya au kukiongelea bado kitakuepo na kilikuwpo kabla yetu,mimi au wewe tutaacha ku-post ila mashoga wataendea kuwepo ni muhimu kukumbushana kuhusu hili janga.
 
wabongo bhana kweli mamburula mshaambiwa all game and jokes aside .....yaani maana yake ni utani na masihara
umetia boko mtu wangu.. wahi offer ya Ras Simba...!!!
 
Back
Top Bottom