Habari wanachama wa JF,
Swali langu mimi ni kuwa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22 ni trillioni 34 na pointi kadhaa sasa najiuliza hadi utawala wa Hayati Magufuli R.I.P, makusanyo ya kodi kwa mwezi ni trillioni 2 ambako ndani ya mwaka mzima ni trillion 24 tena hapo bila kushuka kwa makusanyo katika miezi yote 12. Sasa je, katika trillioni 34 ya bajeti kuna upungufu wa trillioni 10 kutoka katika makusanyo.
Je, hizo 10 trillioni zinatoka wapi kuja kukamilisha 34 trillioni?
Swali langu mimi ni kuwa bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2021/22 ni trillioni 34 na pointi kadhaa sasa najiuliza hadi utawala wa Hayati Magufuli R.I.P, makusanyo ya kodi kwa mwezi ni trillioni 2 ambako ndani ya mwaka mzima ni trillion 24 tena hapo bila kushuka kwa makusanyo katika miezi yote 12. Sasa je, katika trillioni 34 ya bajeti kuna upungufu wa trillioni 10 kutoka katika makusanyo.
Je, hizo 10 trillioni zinatoka wapi kuja kukamilisha 34 trillioni?