Je, trillioni 10 zinatoka wapi kukamilisha trillioni 34 za Bajeti?

Zama za tembo na twiga kupanda ndege zimewadia turajie wizi wa raslimali ukiongezeka awamu hii ya sita
 
inabidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama kuwalipa chadema ruzuku ambayo wanazurura tu nakujilipa maposho ruzuku ikiingia tu mbowe anaanza ziara mpaka ziishe
Mkuu, CHADEMA siyo tatizo, pia ruzuku wamekataa! Ufisadi mkubwa ni jina la pili la ccm!
 
Tafuta bajeti zikizopita . Angalia kuwa zinatekelezwa kwa % ngapi.

Ndio utapata jibu lako hapo
 
Utadungwa chanjo ili pesa ya msaada ipatikane, jiandae.
 
Tuwapigie magoti Kenya ili watuambie pesa wanatoa wapi! Kumbuka bajeti yao ni mara mbili ya Tz , ni nchi ndogo kuliko Tz.
 
Tunatembeza bakuli kwa mabeberu
 
inabidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama kuwalipa chadema ruzuku ambayo wanazurura tu nakujilipa maposho ruzuku ikiingia tu mbowe anaanza ziara mpaka ziishe
Na jinsi zinavyotumika hamna kuhoji, ukihoji lazima likupate kubwa! Nchi hii as long as upinzani/wapinzani ni zao la CCM/TISS hakuna unafuu, wapinzani ni mapimbi, na CCM ni mapimbi pia (Japo CCM wana unafuu). Angalia walioanzisha upinzani 1992, Mrema, Marando, Mtei, Wassira, Lamwai, makongoro, Lipumba (Yote ni maTISS yaliyobobea, and still watu wanaamini upinzani huu). And still bado wanabeba hayo matiss (Lowasa, Sumaye, Nyalandu, Slaa, Mbatia, Mbowe na wengineo wengi).
 
inabidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazima kama kuwalipa chadema ruzuku ambayo wanazurura tu nakujilipa maposho ruzuku ikiingia tu mbowe anaanza ziara mpaka ziishe
Usipomtaja Mbowe na Chadema siku kwako haiendi poa?
 
We umesikiliza bajeti kweli????
Kunatozo kibao zimiongezwa mfano laini,luku,ardhi yaani zitapatikana
⚠️Though kuna uhakika wa ajira mwakani hamna shida mitano tena tuje kula bata🍺🍻
 
Umeisoma bajeti kwenye ile sehemu ya budget frame? Mnakuwaga na maswali gani hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…