Je, Tuendelee Kuamini Ipo Siku Bakhresa Atarudi Simba SC?

Hizo ni story za vijiweni tu, unahisi waliokuwepo kwenye mchakato wa hiyo tenda walikuwa wajinga waache B45 wakubali B20?
Ingawaje sio kwamba naunga mkono hoja ya Mchangiaji kwa sababu I don't comment on gossips, lakini najiuliza tu ikiwa umekulia Tanzania na Afrika kwa ujumla au umezaliwa na kukulia Switzerland?!
 
Ingawaje sio kwamba naunga mkono hoja ya Mchangiaji kwa sababu I don't comment on gossips, lakini najiuliza tu ikiwa umekulia Tanzania na Afrika kwa ujumla au umezaliwa na kukulia Switzerland?!
Kama hauungi mkono hoja inamaana haukubaliani na alichokiandika.
 
Hiyo ml200 si wangeweza kutoa ktk hizo B45 zisizo hewa za Bakhresa wakaachana na msanii ambae alikua anawarubuni tu. So hadi FCC nao walidanganywa kumbe hela hamna. Lakini ipo siku ukweli tutaujua.
Kitu ambacho ninauhakika Bakhresa alisingiziwa tu hakutoa hiyo powa kuwekeza Simba.
 
Kama hauungi mkono hoja inamaana haukubaliani na alichokiandika.
Nimekuambia huwa si-comment kwenye gossips.

Nilicho-comment hapo ni hiyo dhana yako kwamba, hawawezi kukataa 45B halafu wachukue 20B kwa sababu "wao sio wajinga"!

Unafikiria hayo huku huku ukisahau mtu anaweza kuweka 25B, na kuwa tayari 5B kati ya hizo iingie mifukoni mwa watu halafu watangaze 49% ya hisa zimeuzwa kwa 20B!!

Matokeo yake, 49% anapewa aliyetoa 25B huku 5B zikiingia mifukoni mwa watu na yule aliyetoa 45B na kutaka zote ziwe mali ya klabu, anapigwa chini!!
 
Mo hakutaka simba ijitegemee ndio maana alipinga mkataba wa sportpesa pia alijenga mazingira ya kutokuwa na mshindani ndio maana alianza kukopesha timu kabla ya mchakato was ubinafsishaji.
Wale wote waliofanikisha walipewa zawadi ya ujumbe wa bodi.
Kama alinumua hisa kwa billion 20 kwanini alipinga udhamini wa billion 40 za bakheasa kwa miaka 10
 
Hizo ni story za vijiweni tu, unahisi waliokuwepo kwenye mchakato wa hiyo tenda walikuwa wajinga waache B45 wakubali B20?
Tena kamati ya tenda iliongozwa na jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa-Jaji Mihayo
 
Unakumbuka point za Mo kwenye deal la sportpesa ? Mo ndo alikuwa wa kwanza kusema ile pesa ni ndogo kwa taarifa yako

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
M
Unakumbuka point za Mo kwenye deal la sportpesa ? Mo ndo alikuwa wa kwanza kusema ile pesa ni ndogo kwa taarifa yako

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Mkataba wa sports pesa hata kama ulikuwa mdogo huwezi kufananisha na mikataba ya matangazo ya kampuni zake , mkataba wa Azam pia alisema mdogo ingawa ametoa pesa nyingi kuliko alizotoa yeye kununulia timu
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…