cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Swadaktaaaaaa!!!Mlitaka Mkude astaafu kucheza soka? Au mlitaka aende penye riziki ndogo? Huu ni ujuha.
Mkude hajataka kuondoka Simba. Bali uongozi ndiyo uliona wampe mkono wa kheri akatafute changamoto kwingine. Ina maana walipaswa kumchagulia timu ya kwenda? La hasha!.
Mkude ataendelea kuwa 'Legend' kwenye klabu yetu. Ninyi mnaotafsiri vinginevyo ni Mashabiki Maandazi.