Brainy Chick
Member
- Mar 9, 2013
- 64
- 21
Habari wana business forum!!
Kuna jambo linanitatiza na ningependa kupata maoni yenu! Mimi ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa nchini na baadhi ya wafanyakazi wenzangu wamekuwa na tendency ya kumuibia muajiri. Nikiwaconfront wanasema mimi ni mnoko na kwamba hawa "wazungu" hawana faida yoyote kwetu. Si kwamba mimi siwezi kuyafanya wanayoyafanya bali ni kwamba mimi si mtu wa aina hiyo. Je niendelee tu kutazama wakifanya ubadhirifu, ukizingatia ofisi yetu inatoa huduma ya kijamii kwa hiyo kwa njia moja au nyingine tuta-affect hao wanajamii ambao ndio walengwa wa hii kampuni/shirika!!
Kuna jambo linanitatiza na ningependa kupata maoni yenu! Mimi ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa nchini na baadhi ya wafanyakazi wenzangu wamekuwa na tendency ya kumuibia muajiri. Nikiwaconfront wanasema mimi ni mnoko na kwamba hawa "wazungu" hawana faida yoyote kwetu. Si kwamba mimi siwezi kuyafanya wanayoyafanya bali ni kwamba mimi si mtu wa aina hiyo. Je niendelee tu kutazama wakifanya ubadhirifu, ukizingatia ofisi yetu inatoa huduma ya kijamii kwa hiyo kwa njia moja au nyingine tuta-affect hao wanajamii ambao ndio walengwa wa hii kampuni/shirika!!