Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Kaka Paskali Habari ya Ramadan kareem
Nina neno Moja tu
Wanaohubiri kwamba wanakataa udini na ukabila ndo waenezaji wakuu!

Dhambi hii ya kupelekea jina SUKUMA GANG alisababisha hayati Mpendwa wetu aliyetangulia Mbele ya haki!

Mnaona Inavyouma heee

Wahaya tumebaguliwa zamani tokea enzi za Nyerere kwenye kupangua mpaka passmarks

Ukiwa na 93/100 kwa miaka yetu tulosoma bado ipo mitihani miwili huendi sekondari Ila akina Kabudi wa Dodoma walio pata 61/100 wakapelekwa vipaji maalumu’ dhambi hii itawatafuna kila mtu kwenye Taifa hili

Imekuja kwa wachaga Magufuli alivyoingia ikulu kwanza akadili nao wa kaskazini wote na kuna kesi 24 za kufoji dhidi ya wachaga na wakaskazini na akadiriki kupeleka viongozi katili pande hizo Ilabaguliwa kanda ya kaskazini,,,


Sasa alivyoondoka ime turn kwa Wasukuma Waliomsapot wakidhani atakuwa Rais wa MILELE japo hawajui kuwa Jamaa si msukuma hakuna msukuma anakaa chato… hao wote ni WASHUTI wa kuja


Britanicca
 
Wewe acha umbea wa chuki zako Mji wa Mwanza na kahama unajengwa na watu wa madini kwa sehemu kubwa na hao watu ni wasukuma na wakurya sisi tupo mwanza hata magorofa mengi hapa mjini yanayojengwa ukiangalia client ni wasukuma,wakurya saa wewe unazungumzi wahaya ambao hapa mwanza hakuna hata tajiri maarufu kutokea huko kwenu!!

Hata kwenye sekta ya usafirishaji watu wenye mabasi mengi hapa mwanza ni wasukuma na wakurya hao wanyakyusa na wahaya usiwafananishe na wasukuma hata wewe umekiri kuwa wasukuma wapo wengi kwenye sekta za udaktari na engineering ila kwa chuki zako unasema ni bongo lala! Sasa kma ni bongo lala kwa nini hawafukuzwi kwenye ajira?

Nikwambie tu kwa sasa hivi watu wapambanaji kwenye sekta nyingi ni wachaga na wasukuma,wakurya na wakinga!
Hao ndugu zako wanategemea ajira ambazo kwa sehemu kubwa tunagawana nao ila kwenye biashara ,kilimo na madini tumewaacha mbali!

Mfano mji kama Kahama wafanya biashara wakubwa wengi ni wenyeji ambao ni wasukuma sema huwa hampendi wawazidi sasa hao wahaya na wanyakyusa nitajie mji gani wanaotoka wakibiashara ambao wao ni majoriy!?

Huko ughaibuni kuna maajabu gani mbona wahaya waameenda sana ughaibunu lakini mkoa wao bado ni maskini na hawana ushawishi wowote wa kiuchumi kanda ya ziwa wanazidiwa mpaka na watu wa Musoma!
Wasukuma ni bongolala hiyo hata kama haikubaliani nayo, kibiashara Wahaya si eneo lao ila Wanyakyusa ndiyo wafanyabiashara wanaotuwakilisha vyema Zambia na Malawi. They're doing great there tena sana tu.
Wachaga watoe kabisa kwenye orodha, hao ni wa kuwalinganisha na Wahindi/Waarabu lakini haya makabila mengine yarudi kwenye drawing table. Wapemba wako vizuri mno kiuchumi lakini miji ya Chakechake na Wete haina maendeleo yoyote hivyo mji si kipimo cha maendeleo bora hata(lakini Unguja yote wanaitawala wao kiuchumi/kuiwekezaji) ungezungumzia average life standards za watu wa makabila husika kuanzia vijijini na mijini na si kuwa na matajiri wa kuhesabika huku majority wakiwa taabani kimaisha.
Kichekesho ni pale unapotumia miji miwili kulazimisha point yako japo Mwanza ni ya watu mchanganyiko tena kwa sasa ndiyo kabisa Wasukuma wanamezwa.
Wasukuma bado ni bongolala, mlivyo wengi mlipaswa kuwa mna-control kila sekta katika nchi.
 
Wasukuma ni bongolala hiyo hata kama haikubaliani nayo, kibiashara Wahaya si eneo lao ila Wanyakyusa ndiyo wafanyabiashara wanaotuwakilisha vyema Zambia na Malawi. They're doing great there tena sana tu.
Wachaga watoe kabisa kwenye orodha, hao ni wa kuwalinganisha na Wahindi/Waarabu lakini haya makabila mengine yarudi kwenye drawing table. Wapemba wako vizuri mno kiuchumi lakini miji ya Chakechake na Wete haina maendeleo yoyote hivyo mji si kipimo cha maendeleo bora hata(lakini Unguja yote wanaitawala wao kiuchumi/kuiwekezaji) ungezungumzia average life standards za watu wa makabila husika kuanzia vijijini na mijini na si kuwa na matajiri wa kuhesabika huku majority wakiwa taabani kimaisha.
Kichekesho ni pale unapotumia miji miwili kulazimisha point yako japo Mwanza ni ya watu mchanganyiko tena kwa sasa ndiyo kabisa Wasukuma wanamezwa.
Wasukuma bado ni bongolala, mlivyo wengi mlipaswa kuwa mna-control kila sekta katika nchi.
Wewe ni mpuuzi tu huna hoja! waliotumeza hapo Mwanza ni wahaya unaweza kunitajia hotel ya maana hapo Mwanza ya Mhaya au Mnyakyusa? Nani kakwambia Mwanza kuna wasukuma pekeyake?

Wewe una chuki tu na wasukuma wakipata nafasi unasema wana leta ukabila wakikosa unasema bongo lala!
Niambie hao wahaya wako wananini cha ajabu?

Tena nikwambie tu nyinyi wahaya mtaendelea kupotea sana maana biashara hamjui mpo kutegemea ajira!

Huko Tunduma wafanya biashara wakubwa ni Wakinga na biashara kubwa hapo ni ya transit ambayo huwezi kusema Malori yanayopita tunduma zambia ni ya kibila fulani!

Wafanya biashara wakubwa wa madini wilaya ya chunya ni wasukuma na makabila mengine niambie mhaya anafanya biashara gani ya maana?

Chalamila mkuu wa mkoa wa Kagera anasema nyinyi mnachoweza ni majungu!

Endelea Kuwaita wasukuma bongo lala huku ukibaki na ujuaji usio na faida!
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa.

Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchopuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au roache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?

Nimeileta hoja hii kufuatia as days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

The Mkuu Sexless , kwanza nikupongeze kuileta hoja hii, pili japo ni kweli neno Sukuma Gang ni itikadi tuu, lakini si kweli kuwa iliasisiwa na Magufuli!. Tumwacheni Magufuli apumzike kwa amani!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

Pia sii kweli! bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema! Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang! This is not fair at all! Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!

Paskali
Acha unafiki kwa nini wakati wa Magufuli hukuandika hizi hadithi??
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa.

Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchopuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au roache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?

Nimeileta hoja hii kufuatia as days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

The Mkuu Sexless , kwanza nikupongeze kuileta hoja hii, pili japo ni kweli neno Sukuma Gang ni itikadi tuu, lakini si kweli kuwa iliasisiwa na Magufuli!. Tumwacheni Magufuli apumzike kwa amani!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

Pia sii kweli! bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema! Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang! This is not fair at all! Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!

Paskali
Makini sana P
 
Sukuma Gang aka BANYAMULENGE nyie ni laana mumelaaniwa duniani na mbinguni, kila DRC leo hakukaliki sababu yenu nyie sasa mlitaka na hapa mlete ushenzi wenu Mungu akaingilia Kati, rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana wapuuzi wakubwa nyie.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Bangi za kuvuta kwa kujificha ni mbaya rudia kusoma ulichoandika!
 
Wasukuma ni watu wanaochukiwa Sana Hapa nchin Sana Sana na makabila ya Kanda ya kaskazini
Lakin Cha kushangaza ni wengi Sana maana Kuna mikoa Zaid ya mitano Hapa nchin ni kabila la wasukuma tu
Na kinachowauma Zaid msukuma wanaemuita mshamba ndy alieibadlisha nchi hata iwe na muonekano flyover,barabaran zeny viwango ,ikulu chamwino na vitu vngne Kbao yule msukuma aliwapa Ila Kila kukicha nikumtukana tu yy na kabila lake
Washamba washamba haya we mjanja umeifanyia nn hii nchi Zaid ya mikelele na kusapoti ushoga tu .
In vice versa msukuma n mjanja na nyie ndy washamba.
Nb.Kabila Langu halfcast wa kikurya na kinyamwez na nmezaliwa mwanza kama imekuuma jamba mashuzi upumuliwe kisogon.
 
kukemea jina la
....kama kuna mahali humu JF nimewahi kutumia jina hilo kwa misingi ya kibaguzi ama namna yoyote ya kudhiaki nashauri moderators wanipige bani ya wiki au mwezi kabisa. Toka nimejiunga JF ziadi ya miaka kumi sijawahi kupigwa ban. Kwa hiyo, nikipata bani muda huu, ni adhabu ambayo itakuwa imenishughulikia kisaikolojia na itaniweka kwenye mstari kama kweli nimehama kutoka kwenye mstari wa kuelekea Taifa moja la Tanzania lenye nguvu kiuchumi, kitekenolojia nakadhalika.
 
Wasukuma ni watu wanaochukiwa Sana Hapa nchin Sana Sana na makabila ya Kanda ya kaskazini
Lakin Cha kushangaza ni wengi Sana maana Kuna mikoa Zaid ya mitano Hapa nchin ni kabila la wasukuma tu
Na kinachowauma Zaid msukuma wanaemuita mshamba ndy alieibadlisha nchi hata iwe na muonekano flyover,barabaran zeny viwango ,ikulu chamwino na vitu vngne Kbao yule msukuma aliwapa Ila Kila kukicha nikumtukana tu yy na kabila lake
Washamba washamba haya we mjanja umeifanyia nn hii nchi Zaid ya mikelele na kusapoti ushoga tu .
In vice versa msukuma n mjanja na nyie ndy washamba.
Nb.Kabila Langu halfcast wa kikurya na kinyamwez na nmezaliwa mwanza kama imekuuma jamba mashuzi upumuliwe kisogon.
Certified fool.
 
Wasukuma ni watu wanaochukiwa Sana Hapa nchin Sana Sana na makabila ya Kanda ya kaskazini
Lakin Cha kushangaza ni wengi Sana maana Kuna mikoa Zaid ya mitano Hapa nchin ni kabila la wasukuma tu
Na kinachowauma Zaid msukuma wanaemuita mshamba ndy alieibadlisha nchi hata iwe na muonekano flyover,barabaran zeny viwango ,ikulu chamwino na vitu vngne Kbao yule msukuma aliwapa Ila Kila kukicha nikumtukana tu yy na kabila lake
Washamba washamba haya we mjanja umeifanyia nn hii nchi Zaid ya mikelele na kusapoti ushoga tu .
In vice versa msukuma n mjanja na nyie ndy washamba.
Nb.Kabila Langu halfcast wa kikurya na kinyamwez na nmezaliwa mwanza kama imekuuma jamba mashuzi upumuliwe kisogon.
Wasukuma hatuchukiwi bali wafuasi wa Magufuli maarufu kama Sukuma Gang ndiyo wanachukiwa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom