kuna serikali ndugu yangu??baba mwenye nyumba kutwa kigulu na njia kwa wazungu,kuomba omba tu,hata wazungu watakuwa wanatuchora tu!matatizo ya wananchi yameachwa yatajitatua yenyewe,hakuna cha majibu ndugu,kwanza wewe upewe majibu kama nani??hiyo tume inatakiwa iwekewe muwekezaji,ndipo itatoa majibu,