Kama sikosei, nilisikia itatoa ripoti ya sababu za kufeli vibaya kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne, 2012 mwezi wa Nne katikati. Sasa mwezi wa tano unakaribia, je tume hiyo itatoa lini ripoti ya uchunguzi wake?
Naomba anayejua atujulishe.
kuna serikali ndugu yangu??baba mwenye nyumba kutwa kigulu na njia kwa wazungu,kuomba omba tu,hata wazungu watakuwa wanatuchora tu!matatizo ya wananchi yameachwa yatajitatua yenyewe,hakuna cha majibu ndugu,kwanza wewe upewe majibu kama nani??hiyo tume inatakiwa iwekewe muwekezaji,ndipo itatoa majibu,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.