Je, Tumejiandaa na 'Uvamizi wa WaChina?'




kaka Maggid,kwa taarifa yako rais mpya wa china Xi Jinping atatembelea Tanzania hivi karibuni,jiandae kuandika habari zake.Ni ngumu sana Africa ya leo kutofanya biashara na Africa.
 
Wachina ni hatari sana nchi za Malasiya wanajua matatizo yao pia wachina hawa sio wale wa enzi hizo za utawala wa Mao ambao walikuwa wakija nchini mwetu kwa nia njema wachina wa sasa hivi ndio kwa kiasi kikubwa wanaiba magogo yetu,madini,meno ya tembo ndio maana ukisikia mzigo wa meno ya tembo ama umekamatwa China,Hongkong au vietnam ndio maana hata walipopewa urafiki hakuna cha maana kilichofanyika na ndio wanaongoza kwa vikampuni vya kitapeli kama ile iliyopewa mkataba wa kutengeneza mfumo wa maji sisemi kwa sababu nawachukia lakini wamechangia vijana wetu wasiosoma kupata ridhiki kwa sababu wanafanya hata kazi ambazo walistahili kufanya watu ambao ama hawajaenda shule au elimu yao ni ndogo nafahamu china wana makampuni makubwa ambayo yanaweza kushindana na nchi kubwa duniani lakini tujiulize kwanini kwetu zinakuja bidhaa feki wakati watu hao hao wanapeleka bidhaa bora ulaya jibu ni rahisi wanajua udhaifu wa viongozi wetu ndio maana wameamua kuja kutuua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…