Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
Habari za wakati huu!
Siku ya jana nmeona tangazo la pikipiki za umeme (electric bike) zinazouzwa jijini Dar es salaam.
Nimefurahishwa kwa sababu inaonesha tunaenda na kasi ya mabadiliko kiteknolojia, lakini kuna kitu najiuliza kama tumeandaa miundombinu ya kuchaji vifaa hivi.
Tukichukulia mfano Marekani kila gas station kuna sehemu special kwa ajili ya kuchaji electric cars na serikali inafinance program hiyo.
Ukitaka kuchaji pikipiki au gari marekani ni bure kabisa na dira yao ni kwamba kufikia 2030 watatumia electric cars pekee.
Tukija kwa majirani zetu Rwanda wamemuunga mkono ndugu yetu R. Mengi kwenye uwekezaji wa matumizi ya gesi asilia (compressed natural gas) kwenye magari kupitia kampuni yake ya IPP energy. Kwa hiyo Rwanda wataanza kutumia teknolojia ya gesi kwenye magari yao.
Ningependa kujua watanzania dira yetu ni nini? Kama nchi ndogo kama Rwanda wanafanikiwa kwa nini sie tunaokusanya trillion 1.3 tushindwe?
Nawasilisha
Siku ya jana nmeona tangazo la pikipiki za umeme (electric bike) zinazouzwa jijini Dar es salaam.
Nimefurahishwa kwa sababu inaonesha tunaenda na kasi ya mabadiliko kiteknolojia, lakini kuna kitu najiuliza kama tumeandaa miundombinu ya kuchaji vifaa hivi.
Tukichukulia mfano Marekani kila gas station kuna sehemu special kwa ajili ya kuchaji electric cars na serikali inafinance program hiyo.
Ukitaka kuchaji pikipiki au gari marekani ni bure kabisa na dira yao ni kwamba kufikia 2030 watatumia electric cars pekee.
Tukija kwa majirani zetu Rwanda wamemuunga mkono ndugu yetu R. Mengi kwenye uwekezaji wa matumizi ya gesi asilia (compressed natural gas) kwenye magari kupitia kampuni yake ya IPP energy. Kwa hiyo Rwanda wataanza kutumia teknolojia ya gesi kwenye magari yao.
Ningependa kujua watanzania dira yetu ni nini? Kama nchi ndogo kama Rwanda wanafanikiwa kwa nini sie tunaokusanya trillion 1.3 tushindwe?
Nawasilisha