mtukufu ndo jitu ganiunamjaribu mtukufu? mie simo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtukufu ndo jitu ganiunamjaribu mtukufu? mie simo
Na wasee wa mikeka tunaita no goal both side.ha ha haaa! hapo tunaita mbwa kala mbwa
Ni kweli kabisa mkuu nakumbuka kifo cha reli ya kati baada ya mtoto wa mkulu kuingiza maroli zaidi ya 500, nimekumbuka kifo cha swala bicycle.Maamuzi mengi hapa nchini ya kibiashara huwa yanaathiriwa na ukitimba uliopo kwenye mifumo yetu.....kwa kuwa hao hao wanasiasa ndio wafanyabiashara
1.3 trillion ndiyo niliskia inatangazwaEti Mnakusanya Bei Gani Kwa Mwezi?
huo hapo mfano wa pikipiki ya umemeNime ka gugo hapa Jf kwenye haka kauzi nione walau kapicha lakini wapi!!
Niliwahi kuziona Dar miaka ya nyuma kidogo, kwani zina shida gani mkuu?hizi hazitakuwa kama zile gari costar za HINO maana nazo sahivi zipo gerege tu
nazani waliozinunua hazikumaliza mwaka barabarani zikawa nizakushinda gereji kuliko barabarani. zaidi ya miaka 4zipogi gereji tuNiliwahi kuziona Dar miaka ya nyuma kidogo, kwani zina shida gani mkuu?
kwani zinauzwa shillingi ngapi mkuu?Bei yake bora boxer una uhakika mambo yakienda ndivyo sivyo unabeba abiria