Je, tumejipanga na ujio wa pikipiki za umeme?

Je, tumejipanga na ujio wa pikipiki za umeme?

Na umeme wetu huu wa 500/= siku umekatika utachaji wapi??
 
Nime ka gugo hapa Jf kwenye haka kauzi nione walau kapicha lakini wapi!!
 
Maamuzi mengi hapa nchini ya kibiashara huwa yanaathiriwa na ukitimba uliopo kwenye mifumo yetu.....kwa kuwa hao hao wanasiasa ndio wafanyabiashara
Ni kweli kabisa mkuu nakumbuka kifo cha reli ya kati baada ya mtoto wa mkulu kuingiza maroli zaidi ya 500, nimekumbuka kifo cha swala bicycle.
 
Nime ka gugo hapa Jf kwenye haka kauzi nione walau kapicha lakini wapi!!
huo hapo mfano wa pikipiki ya umeme
heroelectric-nyx.jpg
 
Bei yake bora boxer una uhakika mambo yakienda ndivyo sivyo unabeba abiria
 
Back
Top Bottom