Je, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?

Je, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?

Zero Hours

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2011
Posts
12,942
Reaction score
18,669
Mafundisho ya dini hutueleza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa mungu. Swali langu ni kama sisi sote ni mfano wa mungu inakuaje kuna mwanamke na mwanaume? Inakuaje mwanaume anakuwa mfano wa mungu hapo hapo mwanamke pia na yeye ni mfano wa mungu?

Nimetolea mfano wa jinsia pekee lakini bado ipo mingi maana binadamu hatufanani kwa umbo wala Rangi.
 
When you take everything literally...................
 
Mungu ni Roho. 'Hapo mwanzo Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake...' kumaanisha mtu alikuwa ni roho pia, lakin baadae, 'Bwana Mungu akafanyiza mtu kwa mavumbi akampulizia pumzi mtu akawa nafsi hai',hapo ndo tofauti unazotaka kuzisemea zinapo jitokeza, ila uhalisia wa mtu ni roho.
NB: Roho haina rangi wala jinsia
 
Mafundisho ya dini hutueleza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa mungu. Swali langu ni kama sisi sote ni mfano wa mungu inakuaje kuna mwanamke na mwanaume? Inakuaje mwanaume anakuwa mfano wa mungu hapo hapo mwanamke pia na yeye ni mfano wa mungu?

Nimetolea mfano wa jinsia pekee lakini bado ipo mingi maana binadamu hatufanani kwa umbo wala Rangi.
Kwenye ulimwengu wa roho hakuna gender issues
 
Mafundisho ya dini hutueleza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa mungu. Swali langu ni kama sisi sote ni mfano wa mungu inakuaje kuna mwanamke na mwanaume? Inakuaje mwanaume anakuwa mfano wa mungu hapo hapo mwanamke pia na yeye ni mfano wa mungu?

Nimetolea mfano wa jinsia pekee lakini bado ipo mingi maana binadamu hatufanani kwa umbo wala Rangi.
Kwa Dini yetu mfano alioumaanisha hapo',neno kwa mfano wetu' linaamaanisha kwamba mungu amemuumba mwanaadamu bila kuiga,kunakili ,au kuchungulia popote ni mfano wake yeye mwenyewe sio sisi tunafanana nae kwa lolote,hakukua na kiumbe chenye kufanana na mwanaadam,ndio maana yake.
 
Mafundisho ya dini hutueleza kuwa tumeumbwa kwa mfano wa mungu. Swali langu ni kama sisi sote ni mfano wa mungu inakuaje kuna mwanamke na mwanaume? Inakuaje mwanaume anakuwa mfano wa mungu hapo hapo mwanamke pia na yeye ni mfano wa mungu?

Nimetolea mfano wa jinsia pekee lakini bado ipo mingi maana binadamu hatufanani kwa umbo wala Rangi.
Mwanamke hakuumbwa
 
Kwa Dini yetu mfano alioumaanisha hapo',neno kwa mfano wetu' linaamaanisha kwamba mungu amemuumba mwanaadamu bila kuiga,kunakili ,au kuchungulia popote ni mfano wake yeye mwenyewe sio sisi tunafanana nae kwa lolote,hakukua na kiumbe chenye kufanana na mwanaadam,ndio maana yake.
Sokwe je?, hatufanani naye kweli?
 
Kuna kale kapambio... Hakunaaaaaaa waaaaaaaaa kufanananaaaaaaa na..... Hakunaaaaaaa wa kufanananaaaaaaa naeeeeee.... Basi hatujaumbwa kwa mfano wake...
 
na wale malaika walioshuka toka mbinguni kufanya mapenzi na wanawake wa duniani walikua wamevaa dildo au?
Hapana walivaa umbo la jinsia! Kumbuka malaika ni roho hivyo anaweza kuvaa umbo lolote
 
Mkuu nunua vitabu vya TUMAINI LA VIZAZI VYOTE na PAMBANO KUU vina majibu yako.
 
Hapana walivaa umbo la jinsia! Kumbuka malaika ni roho hivyo anaweza kuvaa umbo lolote
pia kumbuka kitabu chenu kinasema roho haitamani mambo ya kimwili, na ndo mana mnasema mkienda mbinguni hamtakua na jinsia, hakutakua na mwanamke wala mwanaume, kwa hivyo roho haina jinsia na haitamani kujamiiana. sasa hao malaika walipata wapi nyege angali wao ni roho?

na pia kumbuka kuna majini yanawaingilia wanawake nyakati za usiku, na kumbuka majini nao ni roho, sasa wanapata wapi hamu ya kungonoka na wanadamu na wengine wanaamua kuzaa nao kabisa watoto wa kijini?
 
Back
Top Bottom