Je, tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?

Sina majibu ya maswali yako
 
Unajua tofauti kati ya kufanana na mfano?
Ungetoa hizo maana ungekufa.... Hakuna mfano usio fanana na uhalisia... Endelea na maana zako... Watu walikufa na waliohai ni zaidi ya bilioni 15... Na wote wameumbwa kwa mfano wake... Tuishie hapo
 
natamani hilii jukwaa lingekuwa na Mapadree Na Mashehe wazijibu hz hoja, make kuna hatari baadhi ya kondoo kupotelea humu
 
 
Suratul Iklaas (112),
  1. Say: He is Allah, the One and Only;
  2. Allah, the Eternal, Absolute;
  3. He begetteth not, nor is He begotten;
  4. And there is none like unto Him.
 
Suratul Iklaas (112),
  1. Say: He is Allah, the One and Only;
  2. Allah, the Eternal, Absolute;
  3. He begetteth not, nor is He begotten;
  4. And there is none like unto Him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…