Je, tuna uhakika Mahafali mbalimbali ya Vyuo Vikuu Miezi hii Novemba na Disemba yanatoa Thinkers na Intellectuals hasa?

Je, tuna uhakika Mahafali mbalimbali ya Vyuo Vikuu Miezi hii Novemba na Disemba yanatoa Thinkers na Intellectuals hasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Katika hili nina uhakika na Chuo Kikuu Kimoja tu changu cha SAUT Mwanza kuwa ndiyo kimetoa, kinatoa na kitaendelea kutoa Thinkers na Intellectuals hasa nchini Tanzania na vingine vinajaribu na Kubahatisha tu.

Hongereni mno na sana Wazazi na Walezi wote mliopeleka Watoto zenu ( wenu ) Kusoma Chuo Kikuu bora na mahiri nchini Tanzania cha Mtakatifu Augustine Mkoani Mwanza kwani huko hawaendi tu kupata Vyeti bali wanaenda Kupikwa hasa Brains zao na Watatoka huko wakiwa na Werevu ( Intelligent ) kama Wazanaki ( Mara Tanzania ), Watutsi ( Rwanda ), Wanyankole ( Uganda ) na Wayahudi ( Israel )

Sijaona Chuo kama SAUT Mwanza.
 
Japokiwa mimi si Mzanaki na si mkazi wa Mara, ila Wazsnaki wana historia kubwa nchi hii kwa kutoa genius mkubwa worldwide, naye si mwingine ni mwenyewe JKN! Ni kweli Wazanaki wana akili sana.
 
Katika hili nina uhakika na Chuo Kikuu Kimoja tu changu cha SAUT Mwanza kuwa ndiyo kimetoa, kinatoa na kitaendelea kutoa Thinkers na Intellectuals hasa nchini Tanzania na vingine vinajaribu na Kubahatisha tu.

Hongereni mno na sana Wazazi na Walezi wote mliopeleka Watoto zenu ( wenu ) Kusoma Chuo Kikuu bora na mahiri nchini Tanzania cha Mtakatifu Augustine Mkoani Mwanza kwani huko hawaendi tu kupata Vyeti bali wanaenda Kupikwa hasa Brains zao na Watatoka huko wakiwa na Werevu ( Intelligent ) kama Wazanaki ( Mara Tanzania ), Watutsi ( Rwanda ), Wanyankole ( Uganda ) na Wayahudi ( Israel )

Sijaona Chuo kama SAUT Mwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. Naona unaisema SAUT kwa sauti

Kupikwa unaweza ukapikwa ukaiva vizuri lakini ukiiva mlaji asipokula unaoza na kuchacha kabisa
 
Inahitaji utulivu mkubwa kukuelewa mkuu.
Nafurahi kuwa umekuwa na Akili hii Kubwa ya kulijua hili kwani 99.9% ya Threads zangu na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums huwa nawalenga zaidi Critical and Rational Thinkers wachache walioko hapa na huenda ukawa ni miongoni mwao.
 
Ichi chuo ndo Soko huru kimbilio la walio kosa vyuo Failures, kama ni mwanamke tunasema sio mchoyo
 
Nyieee
JamiiForums-1049870428.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japokiwa mimi si Mzanaki na si mkazi wa Mara, ila Wazsnaki wana historia kubwa nchi hii kwa kutoa genius mkubwa worldwide, naye si mwingine ni mwenyewe JKN! Ni kweli Wazanaki wana akili sana.
Wazanaki tumepewa Zawadi Maalum ya Akili ( Fikra ) na Upeo wa Kipekee na Mwenyezi Mungu.

Nina uhakika hata Washamba Wakuu kutoka Kagera ( kwa Wahaya), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Mwanza ( kwa Wakerewe na Wakara ), Dodoma ( kwa Warangi ) na ( Tabora ( kwa Wanyamwezi ) wanakubaliana na hili.
 
Ichi chuo ndo Soko huru kimbilio la walio kosa vyuo Failures, kama ni mwanamke tunasema sio mchoyo
Nikikutana na Graduate ambaye hajasoma SAUT Mwanza huwa Namdharau mno kwani automatically huwa najua hana Akili kama Wewe.
 
Great thinkers wasiojenga nchi.
Great thinkers wenye makorokoro kichwani walizotoa chuoni ila wanashindwa kuziwasilisha mtaani.
Great thinkers ambao hawawezi kuhack algorithmic system yoyote hapa Tanzania.
Great thinkers walioshindwa kuwapa upeo mkubwa wanafunzi wa sekondari kuwaza out of the box, kutumia sheria za asili za kisayansi na nadharia mbalimbali kubuni vifaa Kwa maendeleo ya nchi.
Ifike sehemu tuweze kuwatrain wanafunzi waweze tengeneza kitu since chini huko, tunazalisha waalimu ambao hata wao wanashindwa kutumia nadharia za kisayansi kufanya utafiti wenye tija, zaidi ya kuwalisha historical sciences Kwa wanafunzi ambazo hawajawahi kuprove.
Habari ya kusifia chuo Fulani ambacho hata top ten ranks haipo, tuache.
We have to change certain things for better future.
The education curriculum needs certain changes
 
ccm wa wajao maana bila kuwa ccm nchi ya ccm na matatizo yatasaidiwa na mungu
 
Great thinkers wasiojenga nchi.
Great thinkers wenye makorokoro kichwani walizotoa chuoni ila wanashindwa kuziwasilisha mtaani.
Great thinkers ambao hawawezi kuhack algorithmic system yoyote hapa Tanzania.
Great thinkers walioshindwa kuwapa upeo mkubwa wanafunzi wa sekondari kuwaza out of the box, kutumia sheria za asili za kisayansi na nadharia mbalimbali kubuni vifaa Kwa maendeleo ya nchi.
Ifike sehemu tuweze kuwatrain wanafunzi waweze tengeneza kitu since chini huko, tunazalisha waalimu ambao hata wao wanashindwa kutumia nadharia za kisayansi kufanya utafiti wenye tija, zaidi ya kuwalisha historical sciences Kwa wanafunzi ambazo hawajawahi kuprove.
Mkuu mbona ni kama vile umeamua Kukusema ( Kukisengenya ) Kijanja na Kimafumbo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM ) chenye haya Mapungufu yote ya Kutukuka uliyoyataja hapa?

Niko proud mno Kusoma SAUT Mwanza.
 
Great thinkers wasiojenga nchi.
Great thinkers wenye makorokoro kichwani walizotoa chuoni ila wanashindwa kuziwasilisha mtaani.
Great thinkers ambao hawawezi kuhack algorithmic system yoyote hapa Tanzania.
Great thinkers walioshindwa kuwapa upeo mkubwa wanafunzi wa sekondari kuwaza out of the box, kutumia sheria za asili za kisayansi na nadharia mbalimbali kubuni vifaa Kwa maendeleo ya nchi.
Ifike sehemu tuweze kuwatrain wanafunzi waweze tengeneza kitu since chini huko, tunazalisha waalimu ambao hata wao wanashindwa kutumia nadharia za kisayansi kufanya utafiti wenye tija, zaidi ya kuwalisha historical sciences Kwa wanafunzi ambazo hawajawahi kuprove.
Habari ya kusifia chuo Fulani ambacho hata top ten ranks haipo, tuache.
We have to change certain things for better future.
The education curriculum needs certain
Katika hili nina uhakika na Chuo Kikuu Kimoja tu changu cha SAUT Mwanza kuwa ndiyo kimetoa, kinatoa na kitaendelea kutoa Thinkers na Intellectuals hasa nchini Tanzania na vingine vinajaribu na Kubahatisha tu.

Hongereni mno na sana Wazazi na Walezi wote mliopeleka Watoto zenu ( wenu ) Kusoma Chuo Kikuu bora na mahiri nchini Tanzania cha Mtakatifu Augustine Mkoani Mwanza kwani huko hawaendi tu kupata Vyeti bali wanaenda Kupikwa hasa Brains zao na Watatoka huko wakiwa na Werevu ( Intelligent ) kama Wazanaki ( Mara Tanzania ), Watutsi ( Rwanda ), Wanyankole ( Uganda ) na Wayahudi ( Israel )

Sijaona Chuo kama SAUT Mwanza.
Halafu mimi wa Muhas nisemaje? Eti sauti?
 
Back
Top Bottom