Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran mzee,
Hizi umeweka appearance kwenye African Cup of Champions Club (??)kama ni kitu cha kujivunia au mafanikio..na semi -final na final appearence kimsingi hizi hazihesabiki.
Shida ni vikombe tu
Tatizo ni hao uliowaorodhesha maana hakuna hata mmoja aliyekwenda kucheza mpira wa kweli nje ya nchi sana sana uarabuni na indonesia. Unajua kwenye familia mtoto wa kwanza akiendelea na masomo vizuri basi wale wadogo zake watafuata kwa wivu wa maendeleo ili nao wawe kama kaka/dada yao. Hii ni sheria ya maendeleo. Siku moja nilikuwa Mkuranga (Pwani) kuna mtoto alikuwa anamsumbua mzazi wake kwa kutohudhuria shuleni ipasavyo, nilipomuuliza ni kwanini alinijibu eti wao (ukoo wao) hauna asili ya elimu. Kwa undani kuwa haoni mtu aliye mbele yake wa kumuiga. Akaendelea kusema kuwa "...hata ukienda shule kila siku utaishia kuokota kurosho kama fulani na fulani na fulani. Vivyo hivyo kwa wachezaji wetu. Swala la elimu kwa wachezaji sio ishu maana enzi hizi akina Tenga na wengine waliweka kitabu hasa.Naombeni mnitajie japo mchezaji mpira leo hii ana kiwango cha wachezaji hawa
YANGA AFRICAN
(1)HAMISI KINYE/JOSEPH FUNGO
(2)AHMED AMASHA
(3)ATHUMAN JUMA(CHAMA)
(4)ALLAN SHOMARI
(5)CHARLES BONIFACE(MKWASA)
(6)HUSSEIN IDDI
(7)ABEID MZIBA
(8)MAKUMBI JUMA
(9)OMARI HUSSEIN
(10)FRED FELIX MINZIRO
(11)JUMA KAMPALA
KAINGILILA MAUFI, MOHAMEDI KIZERUZE NA ABDALLA KABURU
PAMBA FC
(1)PAUL RWECHUNGURA
(2)GEORGE MASATU
(3)MADATA LUBIGISA
(4)HUSSEIN MASHA
(5)MAO MKAMI
(6)DAVID MWAKALEBELE
(7)ABDALLA BORI
(8)HAMZA MPONDA
(9)KITWANA SULEIMAN
(10)FUMO FELICIAN
(11)DEO MKUKI
(12)RASHIDI MSONGA
(13)JUMA AMIRI
MBONA TUMEPOTEZA DIRI KATIKA MICHEZO TATIZO NINI?
Matangazo ya mechi kupitia kwenye radio yalichangia sana kuhisi boli lipo juu kipindi kile! Kwa ufupi mpira wa miguu Tz ulikuwa juu kati ya miaka ya sabini hadi themanini.
Baada ya miaka hiyo sauti za watangazaji wa RTD ziliweza kuwafanya wachezaji wengi kuonekana ni nyota!