Je, tuna Watu Jeuri (Kauzu) kama akina Nancy Pelosi katika Serikali (Tawala) zetu za Afrika hii ya sasa?

Je, tuna Watu Jeuri (Kauzu) kama akina Nancy Pelosi katika Serikali (Tawala) zetu za Afrika hii ya sasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.

Chanzo Habari: Mwananchi Online

Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?

Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.

Nawasilisha.
 
Mimi simsaport yoyote pale ila hana adabu kuchana hotuba kivile hata kama mnatofautiana na raisi wa nchi.Ndio wale akina mama ndani ya ndoa wakiudhiwa tu wanasikia kichefuchefu na kuanza kufanya mambo ya ajabu.Khaaa sio poa kabisa
 
Hata hivyo Nancy kamuheshimu sana Trump, ingekuwa mwingine kitendo cha kutokumpa spika mkono wa salamu kwa kumnunia tena wote na secretary wake wa state kilitosha kwa Nancy kuondoka bungeni na kumuacha Trump. Trump amemfanya Nancy ajihisi kuwa amedharauliwa na mfumo dume wake.
 
Mimi simsaport yoyote pale ila hana adabu kuchana hotuba kivile hata kama mnatofautiana na raisi wa nchi.Ndio wale akina mama ndani ya ndoa wakiudhiwa tu wanasikia kichefuchefu na kuanza kufanya mambo ya ajabu.Khaaa sio poa kabisa
Unajua Trump kafanya nini wakati anaingia hapo bungeni?
 
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.

Chanzo Habari: Mwananchi Online

Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?

Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.

Nawasilisha.
Tanzania hatuna Bunge ila tuna watu wanaokaa kwenye jumba la Bunge pale Dodoma karibu na CBE.

Hii kitu inatia uchungu. Mabingwa wa separation of powers John Locke, katika Maandiko Mawili kuhusu Serikali, na Baron de Montesquieu katika Roho ya Sheria, walitetea mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers) kati ya mihimili ya kisiasa ya mahakama, bunge na Serikali.. Kanuni yao ilikuwa kuwa hakuna mtu anayestahili kuwa na uwezo wa kuchukua mamlaka yote yaTaifa. Lengo lao ni kuleta dhana ya check and balnces, yaani vyombo hivi kila kimoja kimkague mwingine ili kuleta mizania ya utawala.Mashirika ya kisasa ya kimataifa huzingatia umuhimu wa utawala wa sheria na utawala bora, huku waandishi wengine hutafiti uhsusiano kati ya utawala wa sheria na utawala wa ufanisi katika nchi za kisasa.

Nadharia hii ya Locke na Montesquieu imepuuzwa kabisa na JPM. JPM amefanya wabunge watekeleze yale anayotaka yeye kwa mfano amepeleka sheria mbali mbali kwa mtindo wa miscellaneous amendments ili ziweze kumsaidia yeye au matakwa yake. Ananunua wabunge wa upinzani kwa kuwapa hela au kuwarudishia majimbo lengo likiwa ni kuwa na majority ndani ya Bunge. Spika huwa anasikia maagizo yake ndiyo maana kwenye kila shughuli ya Serikali lazima aalikwe. Jaji Mkuu amebakia kuwa mlalamikaji kama mwanchi tu. Kuna kesi nyingi zina miaka 4 sasa ambazo Mahakama inaweza kuzifuta lakini Jaji Mkuu anamsikiliza JPM anasema nini. Hata kuteuliwa kwa Jaji Mkuu kulikuwa kinyume cha Katiba. Alikaimu zaidi ya miezi 6 kitu ambacho hakipo kwenye katiba.

CAG Professor Assad aliondolewa kwa vile alikuwa anafanya kazi vile inavyotakiwa mpaka aliweza kutambua ufisadi wa Tsh 2.4 Trillion ambazo Serikali ilikuwa haijatoa maelezo zimetumikaje. Mwanasheria Mkuu wa Serikali AG Killangi ameteuliwa bila kuwa na vigezo vinavyotajwa kwenye Katiba ya JMT.

Kwa hiyo Tanzania haina Bunge kwa tafsiri halisi na wakla haina Mahakama kwa vile Rais ana uwezo wa kuwafutia kesi watuhumiwa kama alivyofuta ya wale wa Butimba. Au akawaweka ndani asiowapenda kama alivyowaweka akina Rugemalira na Kitilya n
 
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.

Chanzo Habari: Mwananchi Online

Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?

Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.

Nawasilisha.

Hata hapa linawezekana kama spika angekuwa wa upinzani, ni sawa na wewe hapo upewe wazazi wawili mmoja ni baba yako na mwingine siyo baba yako ni yupi utamuheshim zaidi kuliko mwingine? Tusubili maamuzi ya senet juu ya trump ndo tutajua kama watamtosa basi tutajua wana demokrasia lakini wakimbakiza hawatakuwa na tofauti na hapa kwetu.
Kumbuka hata hapa kwetu mwiguru aliwaki kukanyaga taarifa ya upinzani, na wao pia hukashifu taarifa za serikari.
 
Spika wa Bunge Marekani, Nancy Pelosi amechana hotuba ya Rais Donald Trump muda mfupi baada ya kumaliza kuisoma wakati akihutubia Bunge kwa kile kilichoelezwa kuwa kiongozi huyo wa Marekani hakumpa mkono wakati anamkabidhi nakala.

Chanzo Habari: Mwananchi Online

Hivi Yule Spika Mmoja hivi wa Afrika Mashariki ‘ Pua Kitenesi ‘ ana hata ‘ Ubavu ‘ kwa Kumuiga Mwanamama ‘ Shujaa ‘ Spika Pelosi pale na Yeye Siku moja ikitokea akaonyeshwa ‘ dharau ‘ kama aliyofanyiwa Spika Mwenzake kwa Rais Mwalimu Mkemia?

Naamini huenda hapa kukawa na Somo zuri, jema na kubwa sana tu Kwake Spika ‘ Pua Kitenesi ‘ wa Afrika Mashariki na Kati.

Nawasilisha.
Kuna mtoto wa jirani yako kawachapa makofi wazazi wake (baba na mama)! Je! Wewe lini utakuwa shujaa kama yeye na wewe uwachape makofi wazazi wako?
Oh - Shame!
 
Back
Top Bottom