Je, tunapaswa kumwomba msamaha Hayati Magufuli kwa tulivyomsema na kumdhihaki? Naona mambo hayaendi sasa

Je, tunapaswa kumwomba msamaha Hayati Magufuli kwa tulivyomsema na kumdhihaki? Naona mambo hayaendi sasa

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Nauliza tu.

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani. Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine.

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala la kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni mtu katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine.

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi la auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi.

Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani.

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
downloadfile-4(1).jpg
 
Nenda kaburini kwake kafagie, Sukuma gang bwana mlikuwa mnamuona huyo mrundi kama mungu mtu!.

Halafu unakuta mtu kama wewe kitumbo mbele mbele kwenye vita ya Russia na Ukraine bila kujuwa athari zake kwa uchumi wa dunia.

Mbaya zaidi unakuta nawewe ni msomi ambaye hata kuchanganua mambo umeshindwa! Haya tuambie Kenya na nchi zingine wakaombe msamaha wapi?
 
Nauliza tuu!

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani! Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine,

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala LA kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni MTU katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine,

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi LA auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi,


Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani..!

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Unaweweseka ukiwa wapi mkuu? Ni wakati sasa wa kupambana na hali yako. Maana hakuna namna.
 
Nenda kaburini kwake kafagie, Sukuma gang bwana mlikuwa mnamuona huyo mrundi kama mungu mtu!.

Halafu unakuta mtu kama wewe kitumbo mbele mbele kwenye vita ya Russia na Ukraine bila kujuwa athari zake kwa uchumi wa dunia.

Mbaya zaidi unakuta nawewe ni msomi ambaye hata kuchanganua mambo umeshindwa! Haya tuambie Kenya na nchi zingine wakaombe msamaha wapi?
Mbuzi mdori wewe!

Kuna Vita kubwa na ambayo imeua watu wengi zaidi na kwa kila taifa kama korona?

Pumbavu, hiyo vita ya Ukraine ndio imesababisha mvua zisinyeshe??
 
Mbuzi mdori wewe!

Kuna Vita kubwa na ambayo imeua watu wengi zaidi na kwa kila taifa kama korona?

Pumbavu, hiyo vita ya Ukraine ndio imesababisha mvua zisinyeshe??
Kwahiyo ni Magu ndio amesababisha mvua zisinyeshe? Halafu hii Tanzania ni kubwa, wapi huko mvua haijanyesha? Certified idiot.

Haya sema bei ya bidhaa kabla na baada ya janga la corona tujuwe kama ilishuka au ilipanda kama kipindi hiki cha hii vita.

Misukule ya mwendazake hovyo sana.
 
Kwahiyo ni Magu ndio amesababisha mvua zisinyeshe? Halafu hii Tanzania ni kubwa, wapi huko mvua haijanyesha? Certified idiot.

Haya sema bei ya bidhaa kabla na baada ya janga la corona tujuwe kama ilishuka au ilipanda kama kipindi hiki cha hii vita.

Misukule ya mwendazake hovyo sana.
Kwa kadiri muda unavypkwenda, akili zinakurudia taratibu, soma tena utaelewa vyote ulivyouliza!

Nimeuliza, ni jambo lipi ambalo tunaweza kusema limeleta uahueni kwa wananchi baada ya mbaya wetu kuondoka.?

Kama unaakili sawasawa karibu!
 
Nauliza tuu!

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani! Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine,

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala LA kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni MTU katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine,

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi LA auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi,


Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani..!

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Hatuna deni naye ila tujilaumu kwa kuamini kuwa ni MTU ndiye chimbuko la matatizo na kero yetu. Msingi wa yote ni Mfumo wa Utawala tegemezi (ukoloni mamboleo), ambao Magufuli alishindana nao kama Mtu Binafsi, ukamwondoa duniani
 
Hatuna deni naye ila tujilaumu kwa kuamini kuwa ni MTU ndiye chimbuko la matatizo na kero yetu. Msingi wa yote ni Mfumo wa Utawala tegemezi (ukoloni mamboleo), ambao Magufuli alishindana nao kama Mtu Binafsi, ukamwondoa duniani
Daah!
Umeandika kiutu uzima sana mkuu, nimekuelewa sana
 
Nauliza tuu!

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani! Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine,

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala LA kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni MTU katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine,

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi LA auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi,


Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani..!

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Katili wa NSSF
 
Nauliza tuu!

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani! Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine,

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala LA kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni MTU katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine,

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi LA auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi,


Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani..!

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Kwani magufuli angefabya nini kwa hali hii ya sasa,hebu tuache udwanzi
 
Nauliza tuu!

Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani! Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine,

Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala LA kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni MTU katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine,

Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?

Ni jambo lipi LA auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?

Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi,


Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani..!

Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Na wanasema wanafungua nchi mbona sisi tusiolamba asali hatuoni Ufunguo?
 
Nenda kaburini kwake kafagie, Sukuma gang bwana mlikuwa mnamuona huyo mrundi kama mungu mtu!.

Halafu unakuta mtu kama wewe kitumbo mbele mbele kwenye vita ya Russia na Ukraine bila kujuwa athari zake kwa uchumi wa dunia.

Mbaya zaidi unakuta nawewe ni msomi ambaye hata kuchanganua mambo umeshindwa! Haya tuambie Kenya na nchi zingine wakaombe msamaha wapi?
Vita ilianza tarehe 13/03/2021 au?????
 
Back
Top Bottom