Je, tunapaswa kumwomba msamaha Hayati Magufuli kwa tulivyomsema na kumdhihaki? Naona mambo hayaendi sasa

Chawa wa JPM mnapambana sana
Vipi mkuu, mbona hujibu maswali unaandika upumbavu wako tuu hapa..?

Je, kunaunafuu wowote uliodhahiri kwa wananchi baada ya kuondoka adui wetu no moja JPM?

Ni nini cha kujivunia sasa, maisha yameshuka, umeme vipi, chakula bei yake ikoje huko, mafuta nayo, vipi wakulima wanalima?

Umeme wa Rea inaendelea? Vipi tozo inafurahisha na kurahisisha maisha siyo, vipi matokeo ya tozo, barabara mpya za kujengwa bajeti iliypisha hakuna hata moja, wakati walisema tozo itasababisha hayo mambo
 
Huo unaoandika wewe ni ujinga mtupu, matatizo yanasababishwa na kupanda kwa mafuta, hiyo ni vita huko ulaya na vikwazo alivyowekewa Russia, hakuna link na huyo bwana wako

Mvua kunyesha ni majaaliwa ya Mungu, tuache kuchafua mazingira na kukata miti, sasa huyo boya JPM anahusika vipi?
 
Pumbavu, miti na uchafuzi wa mazingira umekithiri baada tu ya JPM kuondoka?

Ni lini tulilia mvua kukosekama kipindi chake?

Je, tozo imekuletea unafuu wa maisha?
 
Acha kulialia tafuta hela. Huyo Bwana wako amekwishaoza kaburini. Imebaki historia, na historia haipigiwi makofi
Nilijua tuu, mwisho wako ni huu!

Basi acha wenye akili waje, wewe kaa kimya
 
Hatuna deni naye ila tujilaumu kwa kuamini kuwa ni MTU ndiye chimbuko la matatizo na kero yetu. Msingi wa yote ni Mfumo wa Utawala tegemezi (ukoloni mamboleo), ambao Magufuli alishindana nao kama Mtu Binafsi, ukamwondoa duniani
Magufuli kafa kwa corona msianze kusingizia mifumo sijui upuuzi gani huko.
 
Tumia kichwa kufikiri, usitumie kichwa kama dispenser ya mate au Kubebea meno na nywele
 
Kwa haraka haraka umebakiza miaka kama 15 ustaafu

Mkuu wewe haya maisha hutoboi hata ukiongezewa hiyo laki kwenye mshahara, usimlaumu baba yetu Magufuli. Hauna akili.
Mkuu kitendo cha kujiunga hapa JF tayari ujue akili ninazo.

Cha pili sitegemei salary ili niweze kuishi. Sema utumishi unanisadia kupata madili mengine.
 
Punguza mahaba, ya kwako yamepitiliza. JPM alikuwa ni rais wa tano wa Tanzania, wamepita wanne kabla yake hivyo unavyoandika inabidi ukumbuke ni sawa na mtoto wa tano kuzaliwa. Wamepita wanne waliomtangulia, hawakufanya lolote lenye haki ya kukumbukwa?.

Punguza mahaba.
 
Kwani ka
Kwani kabala ya vita hali ilikua nzuri?
Mbona mafuta tayari yalitoka 2300 hadi 2660 je hapo urusi na ukreni vilikuwapo?
Tumia akili kidogo na sio makalio.
Sabuni kipande kilitoka mia moja na mia mbiki hadi mia tano na mafuta ya kula kutoka 60 na kufika 120 yote hayo yanalihusu ukreni wakati walikua hawajaanza kupigana?
 
Duh, kwa haya mapigo, ningekuwa mleta mada ningewaomba moderators waufute uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…