Sultani Makenga
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 621
- 1,039
Nauliza tu.
Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani. Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine.
Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala la kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni mtu katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine.
Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?
Ni jambo lipi la auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?
Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi.
Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani.
Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Huyu Bibi tozo simpendi lakini ukimfananisha na Lile dikteta katili uaji huyu Bibi anamuacha Mwenda kuzimu mbaali sana. Yaani Yaani lile jamaa halikusatahili kuongoza hili taifa hata kwa wiki moja tuu, amelinajisi sana taifa.Na ashukuriwe Mungu wa mbingu na nchi kwa ukuu wake.Nauliza tu.
Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani. Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine.
Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala la kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni mtu katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine.
Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?
Ni jambo lipi la auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?
Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi.
Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani.
Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Spiritually unapoint nzuri sana watakaopinga pia ni Uhuru wao na haki yao piaNauliza tu.
Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani. Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine.
Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala la kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni mtu katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine.
Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?
Ni jambo lipi la auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?
Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi.
Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani.
Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Mpumbavu ni mpumbavuUsio ushuzi ni upi... Ndiyo huu uloandika wewe.?
Mjinga ni mjinga tuu na nivigumu kutoka kwenye ujinga wake
Jana ulipoondokaa ulisahau sidiria yako hapa homeKinembe Mkubwa wewe
We fala kweli,hiyo atasimangwa hadi huko huko kaburini.Nauliza tu.
Tangu lipofariki JPM na wengi tukambatiza kwa jina la Mwendazake, mvua zilikata na hazijawahi kunyesha kabisa kwa baadhi ya mikoa na maeneo mengi nchini ukilinganisha na kipindi cha yeye kuwepo madarakani. Na inavyoonekana kuna mikoa baadhi huwenda mvua zisije kabisa msimu mzima, mfano Mikoa ya Pwani na maeneo mengine.
Alipokuwepo, tumlaumu sana na tulipiga kelele nyingi kuhusu suala la kupanda bei ya mafuta ya kula, enzi hizo mafuta, Lita ilikuwa ikiuzwa Tsh 3200 had I 3500, tulimuona ni mtu katili sana na asiye faa kabisa, na tulianza kuona ni aheri aondoke ili aje mwingine.
Leo hii mbona suala la bidhaaa, mama yangu, ndio Kwanzaa hata haijulikani ni Nani ataweza kuyamuda maisha ikiwa hali itaendelea kuwa hivi, Je, twaweza kumuomba msamaha huyu mwamba kwa tulivyomsema kwa ubaya na kumbe mambo magumu yalikuwa hatua chache tuu baada ya yeye kuondoka?
Ni jambo lipi la auheni ya kimaisha ambalo yeye Magufuli alipoondoka sisi kama wananchi tunanufaika nalo?
Si umeme, si fedha mitaani, si elimu ya msingi na secondary, si bidhaa na nafaka, vyote vimekuwa ni mateso kwa wananchi.
Jua nalo ndo linahasira na vimazao vinvyoota mashambani.
Hii hali inaanzia wapi, Je, tunadeni kwa aliyeondoka?
Kula kwa urefu wa kamba, ndio umefula na umevimbiwa nini,,?We fala kweli,hiyo atasimangwa hadi huko huko kaburini.
Maskini πππKula kwa urefu wa kamba, ndio umefula na umevimbiwa nini,,?
Ni suala la muda tuu, mtazitema kutokea kwenye tundu
Hivi wewe kwa Akili zako Tundu lisu alikuwa na uwezo wa kupata Kura nyingi Zaidi ya Magufuli?Kwa lipiTuliombe msamaha jizi la kura?
Hivi wewe kwa Akili zako Tundu lisu alikuwa na uwezo wa kupata Kura nyingi Zaidi ya Magufuli?Kwa lipi