Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.

mfano walianzisha moto msikitini na kule Belfast Northern Ireland tumeshudia waprotestant na wakatoliki kuweka tofauti zao kando kwa lengo la kupinga wahamiaji waliokithiri.

Je ndiyo mwanzo wa zile vurugu za Dini, ambazo biblia ktk ufunuo ilitabiri zitapelekea Serikali za Dinia kuungana pamoja kupiga Marufuku Dini? Nini nafasi ya Serikali ya Kidini ya Iran inayoongozwa na Supreme leader Ayatollah Ali Khamenei? Je itabidi ili unabii huu utimie Serikali hiyo iondolewe madarakani kupisha Serikali itakayo endana na Matakwa ya Dunia ya kupiga Dini marufuku?

View: https://x.com/RadioGenoa/status/1819833687745396839
 
Sipati picha yale maislam pale Speakers Corner wana hali gani maana walikuwa wanajiona wameiteka UK na walikuwa wanajiona wanaisilimisha UK yote wakitaka Sharia Law..kina Bob wanawatoa nishai kila weekend.. muslims wakiandamana kuitetea Israel wanatoa maneno yote machafu kulaani non muslims.. warudishwe makwao tu
 
Unaijua story ya kibonzo cha charlie hebdo?
Yeah mfaransa mmoja aliyekuwa anachora vibonzo kutukana abrahmaic religions ambaye aliuwawa baada ya kuchora kibonzo na kukifananisha na mtume muhammad (peace be upon him).

And if u think he did muslims dirty by portraying "his" caricature of "the prophet" then you should also look for how he portraited the core christianity beliefs i.e crucifiction, trinity and the birth of jesus .
 
Yeah mfaransa mmoja aliyekuwa anachora vibonzo kutukana abrahmaic religions ambaye aliuwawa baada ya kuchora kibongo na kukifananisha na mtume muhammad (peace be upon him).

And if u think he did muslims dirty by potraited his caricature of "the prophet" then you should look for how he potraited also the core christianity beliefs i.e crucifiction, trinity and the birth of jesus .
Kasome vizuri sakata la charlie hebdo shooting.
 
Ule ulikuwa ni ujinga wa waliotaharuki kwa ajili ya mchoro tu.Hakuna mkristo atakayerukwa na akili akiona Yesu kafananishwa na upompompo wowote.
Yeah! Thats why kuna makanisa nowdays yanafungisha ndoa za jinsia moja why not? Jesus loves everyone although he "allegedely" destroyed sodom and gomorah.

Christianity has no standards , no limitations /boundaries it flows like water takes shape of whatever it accumulates into
. lost its identity long ago now everyone lives deppends on their whims and desires .
 
Yeah! Thats why kuna makanisa nowdays yanafungisha ndoa za jinsia moja why not? Jesus loves everyone although he "allegedely" destroyed sodom and gomorah.

Christianity has no standards , no limitations /boundaries it flows like water takes shape of whatever it accumulates into
. lost its identity long ago now everyone lives deppends on their whims and desires .
Hayo ni mawazo yako kimtazamo.Kwa hiyo ukichacamaza hadi kope ndiyo dini yako inakua sawasawa?Nonsense!Dini ni kama kutongoza.Inahitaji mvuto.
 
Hivi unaijua civil war, hayo ni mapambano ya wazawa dhidi ya wageni baada ya kuchoshwa na tabia zao.
Mtu umeenda kwa watu halafu unataka mwenyeji afanye jinsi unavyotaka wewe hicho kitu haiwezekani.
Ukienda kwa nchi za kiarabu lazima ufate taratibu zao Ila wao wakienda ugenini wanataka vice versa.
 
Nimemfumua

NASEMAJEEE NASEMAJEEE NA WAAFRIKA WOTE WALIOJAZANA UFARANSA NA SEHEMU ZINGINE ZA ULAYA NA MAREKANI NI MUDA WAO SASA WARUDI MAKWAO, HUKO SIO KWAO HUKO WALIENDA KWAAJILI YA SPECIAL OPERATION YA UTUMWA HUKU NDIO KWAO MTAKE MSITAKE!!
Tuanze kuwaondoa makaburu na wazungu waliojazana Namibia na sehemu nyingine waliokuwa Kama wawekezaji
 
Back
Top Bottom