Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wamesikia mkuu.Ifike kipindi watu wajitambue. kuabudu lile jiwe la Mecca hakuna tofauti na waumini wa mwamposa wanavyokanyagana kupata mafuta na udongo. wabadilike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesikia mkuu.Ifike kipindi watu wajitambue. kuabudu lile jiwe la Mecca hakuna tofauti na waumini wa mwamposa wanavyokanyagana kupata mafuta na udongo. wabadilike.
Kasoro wewe tu.dini za kukaririshwa ndiyo namgombania na kutukanana humu jukwaani. Kweli watanzania ni watu wa ajabu mno.
Amina kiongoziWamesikia mkuu.
Hasira tuu ulizo nazo baada ya kuupata ukweli wa nani anauishi ushoga kwa vitendo ,huna kingineHAO ULIOWATAJA MBONA WACHACHE! NYINYI KILA KAFIRI ANAEINGIA KANISANI UJUE HUYO NI SHOGA MAANA ANAKUA AMEFUATA MAAMRISHO YA KUU LA MASHOGA ULIMWENGUNI YESU LENU AMBALO MAJUZI KIMEWAAMRISHA MAKAFIRI WOTE MUWE MASHOGA KWA KISINGIZIO CHA KUBARIKIWA NA HADI AYA KWENYE BIBLIA ZIMEONGEZWA ZIKIWALAZIMISHA MUWE MASHOGA!!!
Atabisha na kutukana tena.Hasira tuu ulizo nazo baada ya kuupata ukweli wa nani anauishi ushoga kwa vitendo ,huna kingine
Ifike kipindi watu wajitambue. kuabudu lile jiwe la Mecca hakuna tofauti na waumini wa mwamposa wanavyokanyagana kupata mafuta na udongo. wabadilike.
Sana sana mambo ya ajabu kabsa eti huko Iran kuna watu wako magelezani wanasubili adhabu kubwa kisa dini ya Allah wa mchongo. Yaani watu wanalazimishwa wavae yale mavitambaa kichwani....KWA NN WASIMWACHIE HIYO KAZI MUNGU ALIYEWAUMBA NDO AWAADHIBU?Uislamu ni dini ya hovyo
mkuki kwa nguruwe....Kwa yale waliyofanya wazungu kupitia vita, ukoloni haya ndio matunda yake wenda hawakufikiri haya yatatokea au walipuuzia hasara na kuzidogosha kuziona ndogo hazina madhara lakini haya ndio matunda ya kazi ya mikono yao.
Wazungu hawakuvamia tu mataifa na jamii za watu kuanzia maelfu ya miaka bali waliua kila kitu chao kuanzia tamaduni na kila kitu.
Leo wao wanalalamika tamaduni zao kuuawa inashangaza!
Matendo wafanyiwayo wao sasa ni asilimia ndogo sana ya matendo waliyofanya wao.
Wanalalamika waarabu wanao amia kwao ulaya bila sindano wala sururu hata kiwembe hawana wakati wao walivamia na bunduki, mabomu ya kila aina
Acha makasiriko kijana una bwabwaja tuu kama usha changanyikiwa , lete kifungu kinacho ruhusu ushoga kwenye biblia ?NYINYI MAKAFIRI HADI KWENYE BIBLIA MMEAMRISHWA
Ni kweli wale wachoraji walikuwa wanamchora hata Yesu.Sema wakristo sio watu wa visasi kama waislam.Yeah mfaransa mmoja aliyekuwa anachora vibonzo kutukana abrahmaic religions ambaye aliuwawa baada ya kuchora kibongo na kukifananisha na mtume muhammad (peace be upon him).
And if u think he did muslims dirty by potraited his caricature of "the prophet" then you should look for how he potraited also the core christianity beliefs i.e crucifiction, trinity and the birth of jesus .
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.
mfano walianzisha moto msikitini na kule Belfast Northern Ireland tumeshudia waprotestant na wakatoliki kuweka tofauti zao kando kwa lengo la kupinga wahamiaji waliokithiri.
Je ndiyo mwanzo wa zile vurugu za Dini, ambazo biblia ktk ufunuo ilitabiri zitapelekea Serikali za Dinia kuungana pamoja kupiga Marufuku Dini? Nini nafasi ya Serikali ya Kidini ya Iran inayoongozwa na Supreme leader Ayatollah Ali Khamenei? Je itabidi ili unabii huu utimie Serikali hiyo iondolewe madarakani kupisha Serikali itakayo endana na Matakwa ya Dunia ya kupiga Dini marufuku?
View: https://x.com/RadioGenoa/status/1819833687745396839
Naaam!Too late.
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.
mfano walianzisha moto msikitini na kule Belfast Northern Ireland tumeshudia waprotestant na wakatoliki kuweka tofauti zao kando kwa lengo la kupinga wahamiaji waliokithiri.
Je ndiyo mwanzo wa zile vurugu za Dini, ambazo biblia ktk ufunuo ilitabiri zitapelekea Serikali za Dinia kuungana pamoja kupiga Marufuku Dini? Nini nafasi ya Serikali ya Kidini ya Iran inayoongozwa na Supreme leader Ayatollah Ali Khamenei? Je itabidi ili unabii huu utimie Serikali hiyo iondolewe madarakani kupisha Serikali itakayo endana na Matakwa ya Dunia ya kupiga Dini marufuku?
View: https://x.com/RadioGenoa/status/1819833687745396839
Hahaha hahaha hahahaHawa ni mafisi wa kutupwa, walielekezwa maeneo ya chocho wanakimbiana, hata siku moja hawaendi mitaa ya wageni wanajua hawatatoka wazima
Ujerumani wamenipa rahaSipati picha yale maislam pale Speakers Corner wana hali gani maana walikuwa wanajiona wameiteka UK na walikuwa wanajiona wanaisilimisha UK yote wakitaka Sharia Law..kina Bob wanawatoa nishai kila weekend.. muslims wakiandamana kuitetea Israel wanatoa maneno yote machafu kulaani non muslims.. warudishwe makwao tu
Kuna uamshio mkubwa sana unakuja duniani kote hilo lidini la kishetani lililoanza kuota mizizi ulaya linaenda kupoteza nguvu, watu wengi sana wataokolewa na Yesu.Ujerumani wamenipa raha
Choma mpk Islamic center na misikiti ,bampa to bampa
Pelekeni sharia kwenu sio nchi za watu
Yaani kwao sharia wameikimbia wanataka waianzishe kwenye nchi za watu