Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Ninashauli waarabu wote warudi kwenye inch zao hii itakomesha hizi chuki zote.
Kwanza anza kushauri wamarekani na shoga zao wajenge nchi za watu walizoziharibu huko arabuni
Wakati waarabu wanaingiliwa makwao wazungu walikua wanaona raha kuwaua na kuwabomolea makaazi yao leo wanapiga kelele zanini?
Nashauri waarabu wote wahame makwao wakahamie ulaya hii itaondosha chuki
 
Na miafrika mitumwa iliopo marekani na ulaya yote irudi afrika
Pole sana kwa fikra finyu kutokana na sera mbovu ya elimu ya nchi hii,naona una wivu na watu wanaopambana kutafuta ugali nje ya nchi yako,nina uhakika wewe ni Kijana wa UVCCM mnufaika wa tozo maisha yako yanaenda fresh tu ndani ya bongonyoso.
Maisha sio Bongo tu ukipata fursa nje ya kwenu kaipambanie,ulete GBPs na USDs nyumbani kwenu wazazi wako wafurahi..
 
Kwa hiyo hapo kwenu ndiyo unaaminika ni binti uliyekomaa?Mmeo atapata mahangaiko sana akikuoa.
 
Humu watu wamejaa chuki za kidini sina hakika kama Watanzania hatuna chuki za kidini au twavumiliana tu kuepesha shari ila siku tukichoka kuvumiliana tutauana.

Hii habari inapoanza tu wachangiaji wamejaa chuki kali inayo shikiliwa na uvumilivu mdogo.

Na palipo na hisia kali basi kiwango cha kufikiri vyema nacho hupungua.

Waarabu hawakupenda sana kujazana huko ulaya ila matendo ya mataifa ya magharibi pale mashariki kati kupitia operations zao mbali mbali ndizo kwa kiasi kikubwa zilizo wasukuma wao kwenda huko huko ulaya.

Kwa kiasi kikubwa mashariki ya kati imeharibiwa na mataifa makubwa ni vyema wakaazi wa hayo mataifa wakapunguza kulalamika bali wazishinikize serikali zao kujiondoa katika migogoro ya mashariki ya kati, kulipa fidia, kuzifanyia ujenzi mpya nchi waathirika pale mashariki ya kati bila wao kufanya hivyo waarabu hawatasita kuendelea kujazana katika mataifa yao.
 
Kwa taarifa nilizozipata ni kwamba,wewe ndiye unaaminika kwa utukanaji kuliko wote.Una tuzo kadhaa kwenye fani hiyo.Wewe ni nguli.
 
Kibonzo
 

Attachments

  • IMG_20240804_072108.jpg
    103.4 KB · Views: 3
  • IMG_20240804_072108.jpg
    103.4 KB · Views: 3
Ndio maana hua sipepesi macho kusema wakristo wengi kama sio wote hawana akili vilaza
Inajulikana sababu ya waarabu kuhama makwao ninini ila makafiri wanajifanya kama hawaoni ila wanaona sema chuki tu
Wakati wanavamia nakuharibu mataifa yawatu wazungu makafiri wote waliunga mkono bila kuangalia mbele kunanini leo wanalalama lalama kama hawajui sababu kumbe wanazijua
Narudia tena waarabu wanatakiwa wakae au wamininike ulaya kwa wingi sanaaa
Nawasilolijua wazungu na wakristo wa jf wenye chuki na waarabu na waislamu nikwamba kuwafukuza waarabu na waislamu ulaya kwasasa haiwezekani tena wakae tu kwakutulia maana waliyataka
 
Kwa pande zote huu ufirauni upo na sio kitu cha kukifumbia macho

Kitu muhimu kujilinda na kuwalinda uzao wako sio kukandiana mara maisilamu mara makiristu
Ukweli upo hivyo ushoga upo pande zote
Ila uliwahi kumuona kiongozi gani wa dini ya waislamu anasimama kuutetea ushoga?
Na ikitokea akatokea atakua sio muislamu tayari
Na ikitokea akatokea waislam wakataka kumuadabisha nakuhakikishia atapewa ulinzi mkali na msaada na makafiri akiwemo marekano uingereza na mashoga wenzie
Hatukatai ushoga upo kote ila wakristo mmezidi au wamezidi wanaufanya uwe halali mpaka kwenye nyumba wanazoziita za ibada
 
QURAN ISHAELEZA KWA UNDANI MASWALA HAYO. HALAFU KUNA WAKIRISTO HUMU NDANI WANASEMA WAKIRISTO HAWANA CHUKI NA WAISLAM. KAKWAMBIA NANI?
"Wala Mayahudi hawataridhika nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: 'Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu.' Na ukiwafuata matamanio yao baada ya yale yaliyokujia ya ilimu, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu."
"Enyi walioamini! Msifanye Wayahudi na Wakristo kuwa marafiki wenu. Wao ni marafiki wa wenyewe kwa wenyewe. Na yeyote atakayewafanya kuwa marafiki wenu kati yenu, basi huyo ni mmoja wao. Hakika Mwenyezi Mungu hadhibiti watu wenye dhuluma."
 
Tunapaswa kukubali usemi huu " Man is the master of his life even at his or her poorest level"....tutasingizia dini tutakuja makabila n.k ila tusipokubali na kujiona kuwa susi ni tatizo hatutafika popote pale.
Human mind sometimes do crazy stuffs.
 
Yes kwasababu wao walikua wanaishi hivyo huko makwao
Kabla ya wazungu akiwepo uingereza na shoga zake kwenda kuwaharibia makazi yao
Waarabu wanatakiwa waachwe waishi watakavyo sababu kuwa hapo walipo wamelazimishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…