Je, tunda aina ya “Christmas melon” linapatikana Tanzania?

Je, tunda aina ya “Christmas melon” linapatikana Tanzania?

2sexy

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2020
Posts
682
Reaction score
1,529
Heri ya sikukuu kwako.

Hili tunda nimesoma linafaida nyingi kiafya na hata kwa mifugo. Yaani ni tiba asili kwa binadamu na wanyama.

Changamoto naona ni tunda maarufu sana huko Afrika Magharibi. Je, hapa kwetu hamna kweli? Je, kuna member yoyote keshawahi kuliona? Kama ndio linaitwaje?

Tunda lenyewe linaitwa christmas melon wanaijeria wanaliita tagiri.

Karibuni mnisidie

download.jpeg
 
Matamu??

Yana sukari?
Hayo kwenu Tbr mbona mengi sana?

Ni machungu kupitiliza kama vibuyu.

Watu hupenda kuning'iniza milangoni kwa imani za kuzuia roho wabaya.

Yanajiotea tu kwenye mpindo(compounds) ama shambani, sijawahi ona yakilimwa.
 
Hayo kwenu Tbr mbona mengi sana?

Ni machungu kupitiliza kama vibuyu.

Watu hupenda kuning'iniza milangoni kwa imani za kuzuia roho wabaya.

Yanajiotea tu kwenye mpindo(compounds) ama shambani, sijawahi ona yakilimwa.

Weeh sijawahi kukutana nayo hayo kijijini kwetu.
 
Nakuita mara tatu kasie kasie kasie acha vurugu! Hebu tu focus kwenye mada hayo matunda hayaliwi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kumbe kesi ilikuwa nyepesi hivii...😁😁😁

Sasa mbona hukusema mapema hadi amekuwahi na uzi wa kujitetea kuwa alikuwa kwenye makelele ndo maana alikubloku...!!?😂😂😂😂😂

Hays ngoja niache, kwani nawe unapenda tunda..!??🤣🤣🤣🤣

Unakulaga tunda....???! Eti Kibeee....😆😆😆😆
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kumbe kesi ilikuwa nyepesi hivii...😁😁😁

Sasa mbona hukusema mapema hadi amekuwahi na uzi wa kujitetea kuwa alikuwa kwenye makelele ndo maana alikubloku...!!?😂😂😂😂😂

Hays ngoja niache, kwani nawe unapenda tunda..!??🤣🤣🤣🤣

Unakulaga tunda....???! Eti Kibeee....😆😆😆😆
Huyo mwenye uzi wa makelele ni jamaa mwengine nae katendwa!. Jana nafikiri dunia ilibinuka binu!
 
Huyo mwenye uzi wa makelele ni jamaa mwengine nae katendwa!. Jana nafikiri dunia ilibinuka binu!

Poleni, ongeza kiwango cha kutafuta hela, hautablokiwa wala kuzimiwa simu tena...🤣🤣🤣
 
Sawa mlafi.

Kiberengeeee...😆😆😆😆😆

Kwaio jana uliselebreti Krismasi ki singo aka solo....🤣🤣🤣🤣🤣

Mi nakula vitu vyote vyenye utamu...😋😋😋
 
Back
Top Bottom