TL yumo humu na sio tuu anasoma sana jf, bali anafuata hata ushauri wetu humuHivi Mh TAL ANASOMA post zetu sisi wapenzi wake ambao tunamkubali mno kuliko maelezo?
TUNDU LISSU TUNAKUPENDA SANA.
Hebu mtaggsuperbug Lissu yupo humu kitambo kwa majina yake yote,Nape yupo humu kwa majina yake,Wilbroad Slaa yupo kwa majina yake,Zitto Kabwe yupo kwa majina yake ,Mnyika yupo kwa majina yake yote,Prof Tibaijuka yupo kwa majina yake yote
Sisi watetezi wa haki na amani hatuhitaji tujuikane ni wajibu wetu kuunga mkono kila mwenye jitihada za kutafuta uhuru haki na amani ndani ya nch hii.Hivi Mh TAL ANASOMA post zetu sisi wapenzi wake ambao tunamkubali mno kuliko maelezo?
Je tal anamjua/ anazijua I'd hizi?
Sky eclat
Erthrocyte
Na wengineo? Je nitahakikisha vipi tal amesoma post yangu?
Basi kupitia Uzi huu nimuombe tal afungue I'd yake ambayo ni verified ili tuweze kuwasiliana nae moja kwa moja kwenye page yake ya jamiiforums.
TUNDU LISSU TUNAKUPENDA SANA.
God bless our prayersBila Shaka anajua kuwa ana rundo la wapenzi humu na bila shaka anajua wapenzi wake wanamwombea nini.
Kuhusu kufungua account kwa utambulisho, nafikiri atatafakari.
TL for URT president
@Tundu LissuHebu mtagg
[emoji23]Yupo na huwa anasoma tu post za humu. Hata kule kula tunda kimasihara kuna siku alichungulia.
Yuko huku, lakini anapenda twitter zaidi.