Wanajf
Kwa hali halisi inayoendelea ktk Taifa letu hatuelekei kuwa na Rais wa mahakama?
Japo mimi sio mwanasheria lkn naamini mahakama zina mipaka yake.
Chombo pekee ninachoamini kinaweza kumrudishia mtumishi kazini ni Idara ya kazi ila sina uhakika kama Idara ya kazi ina uwezo wa kumrudishia mpaka cheo alichokuwa anatumikia.
Sasa kuhusu taasisi kama ya siasa au dini mahakama ina uwezo wa kuzishurutisha eti huyu jamaa lazima awe mwanachama wenu au awe Shehk au Mchungaji wenu kama amefukuzwa kundini?
Kwanza nionavyo mimi kwenye katiba yetu ya nchi hakuna cheo cha Diwani,Mbunge,Meya au Rais wa mahakama na hata cheo cha Naibu IGP.
Kwakuwa hatuna mfumo unaoeleweka wa utawala basi kutokana na udhaifu wa Mr.Dhaifu tutarajie pindi wananchi watakapomtoa mkuku atakimbilia mahakamani na ndipo tutakapokuwa na Rais wa mahakama
Kwa hali halisi inayoendelea ktk Taifa letu hatuelekei kuwa na Rais wa mahakama?
Japo mimi sio mwanasheria lkn naamini mahakama zina mipaka yake.
Chombo pekee ninachoamini kinaweza kumrudishia mtumishi kazini ni Idara ya kazi ila sina uhakika kama Idara ya kazi ina uwezo wa kumrudishia mpaka cheo alichokuwa anatumikia.
Sasa kuhusu taasisi kama ya siasa au dini mahakama ina uwezo wa kuzishurutisha eti huyu jamaa lazima awe mwanachama wenu au awe Shehk au Mchungaji wenu kama amefukuzwa kundini?
Kwanza nionavyo mimi kwenye katiba yetu ya nchi hakuna cheo cha Diwani,Mbunge,Meya au Rais wa mahakama na hata cheo cha Naibu IGP.
Kwakuwa hatuna mfumo unaoeleweka wa utawala basi kutokana na udhaifu wa Mr.Dhaifu tutarajie pindi wananchi watakapomtoa mkuku atakimbilia mahakamani na ndipo tutakapokuwa na Rais wa mahakama