Je, tutatarajia maandamano kufanywa na wanaume wa Dar na Pwani?

Je, tutatarajia maandamano kufanywa na wanaume wa Dar na Pwani?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kesho itakuwa tarehe 23 Sept 2024. Siku ambayo chadema wamepanga kufanya maandamano ya amani kuishinikiza serikali kuwarudisha makada wote wa chadema waliotekwa na wasiojulikana lakini pia kuomba haki itendeke kwa waliouawa.

Serikali kupitia jeshi la polisi imepiga marufuku maandamano haya kwa sababu za kiusalama.

Chadema nao wameapa kuandamana kwa vyovyote vile huku wakisema kuwa nao wamejiandaa kufa ikidibi.

Mimi najiuliza tu je Chadema wanawategemea wafuasi wao hawa wanaume wa Dar au kuna wengine?
 
Kesho itakuwa tarehe 23 Sept 2024. Siku ambayo chadema wamepanga kufanya maandamano ya amani kuishinikiza serikali kuwarudisha makada wote wa chadema waliotekwa na wasiojulikana lakini pia kuomba haki itendeke kwa waliouawa.

Serikali kupitia jeshi la polisi imepiga marufuku maandamano haya kwa sababu za kiusalama.

Chadema nao wameapa kuandamana kwa vyovyote vile huku wakisema kuwa nao wamejiandaa kufa ikidibi.

Mimi najiuliza tu je Chadema wanawategemea wafuasi wao hawa wanaume wa Dar au kuna wengine?
unadhani wao wajinga kuchagua dar, kuna mkoa gan ulishawah kufanyika maandamano yakafanikiwa au unatafuta bwana wa dar
 
Wanaotegemewa kufanya maandamano ndio hawa hawa ambao wanasemwa kwa ujinga wa kupumbazwa kwa simba na yanga,Diamond na Ali kiba.
 
Back
Top Bottom