Je, tutawatambuaje kina Hamza kwenye familia zetu?

Je, tutawatambuaje kina Hamza kwenye familia zetu?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Hamza anaweza kuwakilisha kundi la wakosa haki, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye tatizo la akili, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msimamo mkali waliokosa cancelling, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msongo wa mawazo nk.

Makundi haya ya watu tunaishi nayo lakini yawezekana hatuna mbinu yakushirikiana na dola kuwafichua na wakati mwingine hata tukiwafichua may be dola imejikita kuwakamata nakuwatreat kama waalifu kuliko kuwekeza kuchota taarifa kutoka kwao. Yawezekana dola haijaandaa kundi kubwa la wakusanya taarifa zao kwa sababu ni haina mpya ya watu kwenye nchi yetu au may be tuliwapuuzia kwa sababu madhara yao hayakuwa makubwa. Lakini kuanzia Sasa hata tusipokubaliana ila tumeingia ngwe ya kila mtu kumchunga na kufuatilia nyendo za mwenzake.

Yawezekana waliokuwa kwenye daladala Wana akina Hamza wengi nyumbani wakiamini madhara yao si makubwa,washukuru Hamza hakuangaika na raia ila tukubali yawezekana tusipotimiza wajibu yupo Hamza tunamlea kwenye familia zetu ambaye akitoka akaingia mtaani anaweza kumaliza watu.

Tusipambane na Polisi wala kuwawekea mgomo maana Polisi ni ndugu zetu na hata tukiwapuuza wahalifu wanatudhuru zaidi sisi kuliko hata Polisi.

Njia nzuri yakuwapambana na akina Hamza ni hizi zifuatazo;
1. Polisi waondokane na arresting mentality wajikite kwenye intelligency gethering mentality, kwamba kipaombele kwao kiwe taarifa kuliko ukamataji.

2 . Turudi kwenye slogan ya Mwema ya Polisi Jamii, tusidhani kutumia nguvu dhidi ya jamii ni Suluhu. Nguvu zaweza kuzalisha akina Hamza kwa sababu nguvu uumiza wenye hatia na wasio na hatia.

3. Wananchi penda msipende msidharua watu, toeni taarifa regardless mmepoteza imani kiasi gani. Kutoa taarifa polisi hata Kama watachukua kitu kidogo kwa mtuhumiwa lakini mtuhumiwa anashtuka kwamba anafahamika. Lakini pia unaweza toa taarifa ya tukio dogo wakabaini mambo makubwa zaidi. Tutoe taarifa.

4. Serikali iwekeze kwenye mafunzo ya usalama.

Poleni wafiwa, poleni wapiganaji na poleni Watanzania.
 
Kutatua tatizo lolote inabidi uanze na elimu.Elimu(mafunzo) wanayopewa askari wetu kule moshi yanaendana na hii generation au bado ya kikoloni?
 
"Kuwa makini na watu waliopotea ghafla na kurudi. Au watu walioenda "mafunzo ya dini". Pia mtu anayezungumzia jihad na makafiri uwe nae makini"

-Mdau toka video moja YouTube.
 
Hamza anaweza kuwakilisha kundi la wakosa haki, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye tatizo la akili, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msimamo mkali waliokosa cancelling, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msongo wa mawazo nk.

Makundi haya ya watu tunaishi nayo lakini yawezekana hatuna mbinu yakushirikiana na dola kuwafichua na wakati mwingine hata tukiwafichua may be dola imejikita kuwakamata nakuwatreat kama waalifu kuliko kuwekeza kuchota taarifa kutoka kwao. Yawezekana dola haijaandaa kundi kubwa la wakusanya taarifa zao kwa sababu ni haina mpya ya watu kwenye nchi yetu au may be tuliwapuuzia kwa sababu madhara yao hayakuwa makubwa. Lakini kuanzia Sasa hata tusipokubaliana ila tumeingia ngwe ya kila mtu kumchunga na kufuatilia nyendo za mwenzake.

Yawezekana waliokuwa kwenye daladala Wana akina Hamza wengi nyumbani wakiamini madhara yao si makubwa,washukuru Hamza hakuangaika na raia ila tukubali yawezekana tusipotimiza wajibu yupo Hamza tunamlea kwenye familia zetu ambaye akitoka akaingia mtaani anaweza kumaliza watu.

Tusipambane na Polisi wala kuwawekea mgomo maana Polisi ni ndugu zetu na hata tukiwapuuza wahalifu wanatudhuru zaidi sisi kuliko hata Polisi.

Njia nzuri yakuwapambana na akina Hamza ni hizi zifuatazo;
1. Polisi waondokane na arresting mentality wajikite kwenye intelligency gethering mentality, kwamba kipaombele kwao kiwe taarifa kuliko ukamataji.
2 . Turudi kwenye slogan ya Mwema ya Polisi Jamii, tusidhani kutumia nguvu dhidi ya jamii ni Suluhu. Nguvu zaweza kuzalisha akina Hamza kwa sababu nguvu uumiza wenye hatia na wasio na hatia.
3. Wananchi penda msipende msidharua watu, toeni taarifa regardless mmepoteza imani kiasi gani. Kutoa taarifa polisi hata Kama watachukua kitu kidogo kwa mtuhumiwa lakini mtuhumiwa anashtuka kwamba anafahamika. Lakini pia unaweza toa taarifa ya tukio dogo wakabaini mambo makubwa zaidi. Tutoe taarifa.
4. Serikali iwekeze kwenye mafunzo ya usalama.

Poleni wafiwa, poleni wapiganaji na poleni Watanzania.
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Hamza anaweza kuwakilisha kundi la wakosa haki, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye tatizo la akili, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msimamo mkali waliokosa cancelling, anaweza kuwakilisha kundi la watu wenye msongo wa mawazo nk.

Makundi haya ya watu tunaishi nayo lakini yawezekana hatuna mbinu yakushirikiana na dola kuwafichua na wakati mwingine hata tukiwafichua may be dola imejikita kuwakamata nakuwatreat kama waalifu kuliko kuwekeza kuchota taarifa kutoka kwao. Yawezekana dola haijaandaa kundi kubwa la wakusanya taarifa zao kwa sababu ni haina mpya ya watu kwenye nchi yetu au may be tuliwapuuzia kwa sababu madhara yao hayakuwa makubwa. Lakini kuanzia Sasa hata tusipokubaliana ila tumeingia ngwe ya kila mtu kumchunga na kufuatilia nyendo za mwenzake.

Yawezekana waliokuwa kwenye daladala Wana akina Hamza wengi nyumbani wakiamini madhara yao si makubwa,washukuru Hamza hakuangaika na raia ila tukubali yawezekana tusipotimiza wajibu yupo Hamza tunamlea kwenye familia zetu ambaye akitoka akaingia mtaani anaweza kumaliza watu.

Tusipambane na Polisi wala kuwawekea mgomo maana Polisi ni ndugu zetu na hata tukiwapuuza wahalifu wanatudhuru zaidi sisi kuliko hata Polisi.

Njia nzuri yakuwapambana na akina Hamza ni hizi zifuatazo;
1. Polisi waondokane na arresting mentality wajikite kwenye intelligency gethering mentality, kwamba kipaombele kwao kiwe taarifa kuliko ukamataji.
2 . Turudi kwenye slogan ya Mwema ya Polisi Jamii, tusidhani kutumia nguvu dhidi ya jamii ni Suluhu. Nguvu zaweza kuzalisha akina Hamza kwa sababu nguvu uumiza wenye hatia na wasio na hatia.
3. Wananchi penda msipende msidharua watu, toeni taarifa regardless mmepoteza imani kiasi gani. Kutoa taarifa polisi hata Kama watachukua kitu kidogo kwa mtuhumiwa lakini mtuhumiwa anashtuka kwamba anafahamika. Lakini pia unaweza toa taarifa ya tukio dogo wakabaini mambo makubwa zaidi. Tutoe taarifa.
4. Serikali iwekeze kwenye mafunzo ya usalama.

Poleni wafiwa, poleni wapiganaji na poleni Watanzania.
Usawa,haki na weledi katika kutekeleza majukumu yao una masada mkubwa kuwasaidia hata kuweza kukusanya hizo taarifa kutoka kwa jamii,ugumu unakuja kwao kwa kuwa mwananchi wakawaida anajua wao rushwa Sana,uonevu kwao, ubambikiaji kwao, badala ya wao kuwa walinzi wa jamii ni maadui wa jamii, ila ni walinzi wa chama fulani. Wabadilike kwa kutanguliza weledi na sii ugali/tumbo. Wanachangia kuwatengeneza akina Hamza.
 
Back
Top Bottom