Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 517
Wanafunzi wa shule ya sekondari Ndanda,iliyoko wilaya ya Masasi, wamefukuzwa shuleni jana. Hii ni pamoja na wanafunzi wa kidato cha sita! Sababu kubwa ni baadhi ya wanafunzi wa imani ya dini ya Kiislamu kutotimiziwa ahadi ya kujengewa nyumba yao ya ibada kwa muda mrefu sasa. Chanzo kinasema ilifikia hata 'parade' za 'assembly' asubuhi,wanafunzi wa imani hiyo,kuanza kujitenga na wenzao! Habari zaidi tutaendelea kujuzana..
Nadhani walipaswa kuhama shule tu sasa, wakasome kule wanakojua watakuwa pekeyao. Na uzuri kuna chuo pia so wataendelea na mambo hizo! watafute na kazi watakazokuwa pekeyao na maduka watakayoenda wao tu and the list continues...
ukiangalia hili pia unagundua ni mawazo finyu tu hayana uhalisia! hakuna maisha ya aina hiyo.