Viongozi wetu wengi ukiacha wale wazee waanzilishi ni hawa wa 1940-1960.
Hichi ndiyo kizazi cha wasomi, mafisadi, waheshimiwa , watunga sheria karibu wote wa Tanzania ya sasa
Swali tuwakumbukaje? Kwa mazuri au hawa ndiyo sababu ya Tanzania kuwa masikini mpaka leo
Hichi ndiyo kizazi cha wasomi, mafisadi, waheshimiwa , watunga sheria karibu wote wa Tanzania ya sasa
Swali tuwakumbukaje? Kwa mazuri au hawa ndiyo sababu ya Tanzania kuwa masikini mpaka leo