Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Unacheka kama mazuri, confidence bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1751][emoji1751]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimeshangaa kwann leo hujaniita
 
Halafu Huwezi Amini Leo sijasoma kabisa comment zake humu,,kwani ana jambo nipige reverse?

[emoji23][emoji23][emoji23] Akuuuuu usinigombanishe na da kipe ndo kwanza ushoga wetu mpya
 
Ila wewe dogo unajuaga kunifurahisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie nishawaharibu ss hivi mmeanza kuwa wambea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…