johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa.... Toa mfano wa hivyo vyanzo rafiki!Yote haya yanasababishwa na serikali mbovu ya ccm! Imejichokea kiasi cha kukosa ubunifu wa vyanzo rafiki vya mapato.
Msilie, BUNGE lenu la kijani hilo linapitisha kila UTOPOLO, hamna wa kupinga, kukosoa, kurekebisha Wala kusahihishaMaumivu ya ongezeko la bei ya wese yameshaanza kusikika kidogokidogo hasa kwa upande wa bei za bidhaa japo haijawa rasmi bado.
Sina hakika sana kama uchumi unapaa, unadumaa au unashuka ila nilicho na uhakika nacho wamiliki wa vyombo vya usafiri wameanza kuongeza bei kimtindo.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mdude atulize mzuka kwanza!Mama ajiandaye kunyolewa kwa wembe na Mdude
Wewe wese unajazia Malawi?Msilie, BUNGE lenu la kijani hilo linapitisha kila UTOPOLO, hamna wa kupinga, kukosoa, kurekebisha Wala kusahihisha
Tozo kwenye ulanzi, tozo kwenye komoni, tozo kwenye mnazi, naongeza tozo ya shilingi 100 kwenye lita moja ya kimpumu! Huyu mwigulu nchemba, huyu!! We muache tu.Hahahaaaa.... Toa mfano wa hivyo vyanzo rafiki!
Labda siyo mbunifu!Tozo kwenye ulanzi, tozo kwenye komoni, tozo kwenye mnazi, naongeza tozo ya shilingi 100 kwenye lita moja ya kimpumu! Huyu mwigulu nchemba, huyu!! We muache tu.
Ni tozo mwanzo mwisho!!π
Cc RRONDOMaumivu ya ongezeko la bei ya wese yameshaanza kusikika kidogokidogo hasa kwa upande wa bei za bidhaa japo haijawa rasmi bado.
Sina hakika sana kama uchumi unapaa, unadumaa au unashuka ila nilicho na uhakika nacho wamiliki wa vyombo vya usafiri wameanza kuongeza bei kimtindo.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Na baadhi ya CCM pia hawampendi Mama..Dah tunampenda mama lakini CCM hatuipendi tumechanganyikiwa Aisee yani tuko kwenye dilemma ya hatarii. Tukimpinga alivyo mpole na huruma dhamira inakushtaki. Our fakin hands are tied and there's nothing we can do.
Inakuwaje mzee wa calls/escort girls πππNa baadhi ya CCM pia hawampendi Mama..
Ni kawaida sana kwa Nchi zilizoingia kwenye uchumi wa kati ,vitu huwa bei juu na tunaomba petrol iwe juu zaidi maana wabunge wamepitisha bajeti kwa kishindo.Maumivu ya ongezeko la bei ya wese yameshaanza kusikika kidogokidogo hasa kwa upande wa bei za bidhaa japo haijawa rasmi bado.
Sina hakika sana kama uchumi unapaa, unadumaa au unashuka ila nilicho na uhakika nacho wamiliki wa vyombo vya usafiri wameanza kuongeza bei kimtindo.
Nawasalimu kwa jina la JMT!