Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Msimu ulioisha kuliibuka mashindano ya ufungaji bora kati ya predator mayele na saido ntibazonkiza kiasi Kwamba Kuna vitu vilinishangaza
_ Uwezo wa Saidoo kufunga goli 5 kwenye mechi Moja ndani ya ligi lkn club bingwa alimaliza bila goli hata moja[emoji32]
_ msimu huu saido hajafikisha goli hata 5 Kwa mechi zote
NB: Je ufungaji bora wa huyu jamaa ulikuwa na walakini ...Baada ya simba kushindwa ubingwa ...wakaona wawekeze efforts kwenye kiatu Cha dhahabu??
_ Uwezo wa Saidoo kufunga goli 5 kwenye mechi Moja ndani ya ligi lkn club bingwa alimaliza bila goli hata moja[emoji32]
_ msimu huu saido hajafikisha goli hata 5 Kwa mechi zote
NB: Je ufungaji bora wa huyu jamaa ulikuwa na walakini ...Baada ya simba kushindwa ubingwa ...wakaona wawekeze efforts kwenye kiatu Cha dhahabu??