minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mahita kingai ndiyo magaidi kwani wamefanya vitendo vya kigaidi kuwakamata walinzi wa mbowe kuwapiga pingu mikono miguu saa 24 kila siku kuwapiga kuwatesa waseme ugaidi ambao hawana haupo na haujawahi kuwepo, ugaidi upo huko Polisiccm waliotumika kumbambikia kesi