Je, ugali wa mtama unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

Je, ugali wa mtama unafaa kwa mgonjwa wa kisukari?

jjeremiah

Member
Joined
Jul 30, 2010
Posts
43
Reaction score
13
Nasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda sasa, tatizo langu ni chakula gani kinafaa maana nimekuwa nikitumia ugali wa mtama lakini niki pima nusu saa baadaye nakuta imepanda mara mbili zaidi, naomba kujuzwa tatizo ni nini.
 
Back
Top Bottom