Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Wakuu habari za leo?!
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ugoni, wanaume kufanya mapenzi na wake za watu na wanawake kufanya mapenzi na waume za watu, hali hii sasa imechukua sura mpya baada ya kuibuka kwa mtindo wa watu waliokamatwa ugoni kulawitiwa, kuuawa na waliolawitiwa hatimae kuamua kujiua.
Mimi binafsi sielewi kwa usahihi sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu ugoni, je ni kosa la jinai, la madai au ni kosa la namna gani?
Kwa watu huambiwa kulipa fedha kiwango tofautitofauti kulingana na matakwa ya mtendewa.
Je mtu aliyekamatwa ugoni anaweza kupelekwa mahakamani?
Kuna vifungu vipi vya sheria kusupport hili?
Wakuu naomba tusaidiane kufafanua vifungu vya sheria vinavyoweza kuwa vinahusiana na suala la ugoni.
Kwa heshima naomba niwaite EMT, PETRO E Mselewa, Ruttashobolwa na mwanaJF yeyote mwenye uelewa juu ya jambo hili au yeyote atakayejisikia kuchangia, sitaki kuwasahau maswahibu NyaniNgabu na Kiranga.
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ugoni, wanaume kufanya mapenzi na wake za watu na wanawake kufanya mapenzi na waume za watu, hali hii sasa imechukua sura mpya baada ya kuibuka kwa mtindo wa watu waliokamatwa ugoni kulawitiwa, kuuawa na waliolawitiwa hatimae kuamua kujiua.
Mimi binafsi sielewi kwa usahihi sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu ugoni, je ni kosa la jinai, la madai au ni kosa la namna gani?
Kwa watu huambiwa kulipa fedha kiwango tofautitofauti kulingana na matakwa ya mtendewa.
Je mtu aliyekamatwa ugoni anaweza kupelekwa mahakamani?
Kuna vifungu vipi vya sheria kusupport hili?
Wakuu naomba tusaidiane kufafanua vifungu vya sheria vinavyoweza kuwa vinahusiana na suala la ugoni.
Kwa heshima naomba niwaite EMT, PETRO E Mselewa, Ruttashobolwa na mwanaJF yeyote mwenye uelewa juu ya jambo hili au yeyote atakayejisikia kuchangia, sitaki kuwasahau maswahibu NyaniNgabu na Kiranga.