Pre GE2025 Je, Ugumu wa Maisha na Ukosefu wa ajira kwa vijana inawezekana kikawa Chanzo cha CCM kushindwa Uchaguzi ujao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
hao wenye maisha magumu ndio kutwa wanaimba mama mama unafikri wanajitambua basi
 
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
Vijana wakiisimamia vizuri shughuli ya uchaguzi hakika CCM watakuwa chama Cha upinzani by october 2025. Vijana wanapitishwa katika tanuru la moto mkali mno. Mfano wanasafirishwa km kibao kufuata usaili muda huo Wana CCM wanao watu wao tayari. Kama kutakuwa na namna ya kuwaunganisha vijana nchi nzima kupambania na ma CCM naunga mkono hoja hiyo.
 
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
Tanzania Kuna maisha magumu na ukosefu wa Ajira kweli? Au unatania?
 
Jibu litaanzia hapa.
 

Attachments

  • IMG-20250131-WA0005.jpg
    124.4 KB · Views: 4
Tanzania Kuna maisha magumu na ukosefu wa Ajira kweli? Au unatania?
Acha unafiki na usaniiiii 🀣 Kama ajira zingekuwepo, usingekuwa Chawa. Wewe ni chawa tu 🀣 🀣 Ndio maana unajitoa akili kusifia kila kitu ili mkono uende kinywani 🀣🀣
 
Wanaoipigia kura na kuibeba ccm hata JF hawaijui
 
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
Hao ni mtaji wa CCM...

Ikishafika uchaguzi wanapewa Tshirt ,wanapikiwa Ubwabwa ,wanapewa elfu 10 za kwenda mikutanoni.
 
Kwa vyovyote vile kete ni 2 kuu.

1.Tume ya Uchaguzi iko chini ya CCM
2.Jeshi la polisi liko chini ya CCM

Mkiweza kubadili hayo ndio mfikirie vinginevyo. Otherwise CCM iko pale pale
 
Kwa vyovyote vile kete ni 2 kuu.

1.Tume ya Uchaguzi iko chini ya CCM
2.Jeshi la polisi liko chini ya CCM

Mkiweza kubadili hayo ndio mfikirie vinginevyo. Otherwise CCM iko pale pale
 
Shida ni kwamba wengi wao wameamua kuwa chawa kwahiyo wameona bora wajisalimishe kwenye makwapa ya ccm wakiamini watapata chochote kitu.
 
Ukosefu wa ajira na ugumu wa maisha kuwabebesha viongozi kuwa ni chanzo ni dalili ya IQ ndogo.Ajira ni aina ya kazi ihusishayo kutumikishwa na kulipwa ujira.Ili ajira ziwepo sharti mabwanyenye(bourgeosis) waongezeke ili wagombanie makabwela(proletariat) wahitajike.Bila ya kufanya kazi inawezekana?Ugumu wa maisha utatatuliwa pasipo kufanya kazi?Hao viongozi mwataka wawafanye muwe 'doley'(kuishi kama wazee wa TASAF)?
 
Acha unafiki na usaniiiii 🀣 Kama ajira zingekuwepo, usingekuwa Chawa. Wewe ni chawa tu 🀣 🀣 Ndio maana unajitoa akili kusifia kila kitu ili mkono uende kinywani 🀣🀣
Nchi hii usipopata hela au kazi imeamua mwenyewe mama alishagungua Nchi kitambo πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DFauhm5NN_2/?igsh=d2U5ZzNhNG1lZWZk
Watu wanatengeneza Ndege hapa hapa Bongo wewe unasema hakuna Ajira na maisha magumu? Uko serious kweli? πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DFaHJJ2t7Bl/?igsh=NDM3cnJtMnhmdWg=
 
Tatizo ni kwamba Chama Cha Mashetani ushindi wao hautegemei uchaguzi.Uchaguzi ni 'hadaa' tu.
 
Asilimia kubwa sana ya Watu wana MAISHA MAGUMU

Asilimia kubwa ya vijana hawana AJIRA

Lazima CCM watashindwa au kuwa wa mwisho au kushika Mkia

Je, CCM watapata kura wapi wakati asilimia kubwa ya watu wana hali ngumu?
Kwani siku zote wanapata kura wapi watashinda tu kwa kishindo CCM ni ileile wezi wa kura, Jasiri haachi asili. Wagombea wote wa upinzani watakatwa watawabakisha wachache kisha hao wachache wataenda kudhurumiwa kwenye sanduku la kura. hakuna uchaguzi Bongo tena kama Zanzibar ambako kuna uchaguzi wa mapema ile uchaguzi wa Mapema tu CCM wanakuwa tayari wameshinda ACT wanapewa viti vyao viwili vya kupozwa, kazi imeisha. Mimi sijisumbui kwenda kupiga kura mwaka huu hata kwa mizinga kwa mazingira haya, nitajipikia ugali wangu tu najilia nasikiliza matokeo, wala hainiumi kwasababu utawafanya nini wababe. Tena safari hii mapema kuna mijigari ya ajabu ajabu ya Mapolisi fanya fyoko kama hajakutoa utumbo. Wanao jidai kupiga piga vikelele ni CHADEMA wala hata nao hawana kitu, Lisu na heche wake watashikwa kama kuku wenye mdondo kwio, kwio, kwio, kwio hao wanaenda kufanywa Mboga, hii mikiki ya safari hii si kitoto.
 
Mkuu hongera, maliwazo jipe mwenyewe. Ila vijana tuko bize na kutafuta mkate wa familia. Maisha yanasonga mbele na CCM ni hii hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…