oke.Yes, kama nilivyoeleza.
Na mara nyingi akirudishwa nchini hufikia mahakamani Kisutu ili kujibu mashataka ya kutoroka kwenda nchi za watu na kisha kuvunja sheria za uhamiaji za huko.
Kwenye maslahi ya taifa angalia mifano ya nchi kama Russia na China wanavyowashughulikia raia wa aina hiyo khasa wale wanoitwa "defectors".
Au usiende mbali sana mfano tunao wa jirani zetu Rwanda na kisa cha bwana Paul Rusesabagina.
Una haki ya kuwa raia wa nchi yeyote unayoitaka.vipi hawezi kuwaletea shida ndugu aliyowaacha hapa nchini kama aliondoka kwa njia za ukimbizi au alichukua pasi ya nchi jirani hali ya kuwa yeye alikuwa raia wa Tanzania?
Nimekuelewa mkuu.GIRITA unasumbuka bure
Dunia imekuwa kijiji
Hao waliojilipua akitaka kurudi kuishi bongo anaweza vizuri tu ni mtindo wa kuoa kuolewa work permit uwekezaji anaishi vizuri tu mbona
Utaifa sio karatasi ni mioyoni ndio upo utaifa
Na hao watakaowashughulikia ndugu wa huyo wanaedai mkimbizi wataishia kuwalipa fida kwani watakosa ushahidi
Ni hivi upo huru kuishi kokote
Wenzetu wazungu ukiwapelekea stori sijui namjua kwao sijui wapi watakuambia usiwasumbue fanya kazi punguza umbea
Haya mambo yapo ulimwengu wote sijui kwa nini bongo iwe exceptional