jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,089
- 424
nlikua nnaulizia kuhusu sheria ya kazi ya Tanzania kua Kampuni ikiwa inavunja mkataba kwa mfanyakazi inamlipa mshahara wa wiki Moja tu kwa mwaka yani unalipwa mshahara wa siku 7 tu katika mwaka ambao mtu amefanya Kazi au mana sioni kama haki inatendeka kwa hiyo hela mana haimfikishi popote mfanyakazi na ndo kitu kinachoendelea katika Migodi ya Barrick,ni kweli hii sheria ipo?