oxlade JF-Expert Member Joined Jul 8, 2012 Posts 601 Reaction score 96 Oct 18, 2013 #1 Naombeni msaada kujua hilo, je mtu akicarry na kamaliza chuo anaweza kupangiwa kituo cha kazi kwa kozi ya education?
Naombeni msaada kujua hilo, je mtu akicarry na kamaliza chuo anaweza kupangiwa kituo cha kazi kwa kozi ya education?
saadmad JF-Expert Member Joined Aug 12, 2011 Posts 573 Reaction score 295 Oct 18, 2013 #2 Jomba kiufupi huwezi pangiwa kituo cha kazi wakati bado unasoma. Ukibeba somo huwezi kuhitimu mwaka huo mpaka usafishe hio shombo na mwaka unaofuta ndo uta hitimu na kupangiwa kituo cha kazi.
Jomba kiufupi huwezi pangiwa kituo cha kazi wakati bado unasoma. Ukibeba somo huwezi kuhitimu mwaka huo mpaka usafishe hio shombo na mwaka unaofuta ndo uta hitimu na kupangiwa kituo cha kazi.
Elly Andrew JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 411 Reaction score 175 Oct 18, 2013 #3 Nafikir jibu umelipata yaan hapo disco imenukia ukikaa vbaya